fidelis zul zorander
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 685
- 175
wadau naombeni msaada kuhusu hizi carrier mbili medicine au pharmacy ipi wewe utaiprefer, ipi ndo utamake more money regardless on the time you spent on working
pharmacy
una uhakika na unach0ongea?
kuweka cheti tu kwenye duka la mtu unabeba m kwa mwezi, mshahara wako mfukoni, bado hujaanzisha la kwako, watu wakuconsult wakati wa uanzishaji wa madvka yao. Hizo zote ni za halali ukiongeza na zile za kuagiza dawa na kuzificha, procurement procedures! Medicine utaishia kulalamika tu wagonjwa wanakufa kizembe kwa kukosa dawa,unaamshwa usiku, mshahara mdogo, marupurupu mpaka uvuje mpaka serum, uko exposed kwenye magonjwa zaidi.
wadau naombeni msaada kuhusu hizi carrier mbili medicine au pharmacy ipi wewe utaiprefer, ipi ndo utamake more money regardless on the time you spent on working
Well said Mkuu. Ni vizuri kufanya kile moyo unapenda. Lakini si vibaya tukawapa ushauri baadhi ya mambo ukizingatia utamaduni wakwetu, maana nchi za wenzetu mtoto anaandaliwa akiwa bado mdogo, anajua akiwa mkubwa atakuwa nani, hapa kwetu, mtoto akisoma arts anataka kuwa mwanasheria, PCB anataka kuwa daktari na PGM kuwa rubani ect ect.Katika kozi hizi mbili (Medicine Vs Pharmacy) inategemea unataka nini. Kama unataka heshima katika jamii, chukua medicine, ila kama unataka maisha mazuri na una entrepreneurship skills, chukua pharmacy. Pharmacy unaweza ukafanya maeneo mengi sana, hasa nje ya Tanznia na ukatengeneza pesa haraka sana, kumbuka pharmacy is business oriented, wakti medicine itakubidi ule CCD sana na kukuondolea heshima. Lakini cha msingi, angalia moyo wako unataka nini.i would advice u, go for something u like,, listen to ur heart,, money is everywhere,and if u are desperate kutafuta pesa,usidhani kwamba degree yako peke yake ndo itakayokupa pesa, there are a lot of things to give u money other than just ur degree,, soo, just do what ur heart feels like doing,,, kitu ambacho hata ukianza kazi,utafurahia na kuipenda kazi yako, ukishaipenda kazi yako,pesa zitajileta zenyewe,,,
Si muda mrefu kutoka sasa sera zinakwenda kubadilika, na masuala ya kutundika cheti itakuwa historia. Hata hivyo Pharmacist katika Tanzania hawatumii elimu yao ipasavyo, nadhani ni kama 2-5% ya elimu yao. Kwa nini bado tunaangiza dripu toka nje?? kwa nini tunaangiza gauze wakti tuna pamba ya kutosha?? kwa nini mnawadanganya watanzania kwa kuwauzia quinine syrup wakati stability yake ni ndogo, kwa nini hfanyi compounding? kwa nini mnauza Eusol wakti inatakiwa iwe freshly prepared??kuweka cheti tu kwenye duka la mtu unabeba m kwa mwezi, mshahara wako mfukoni, bado hujaanzisha la kwako, watu wakuconsult wakati wa uanzishaji wa madvka yao. Hizo zote ni za halali ukiongeza na zile za kuagiza dawa na kuzificha, procurement procedures! Medicine utaishia kulalamika tu wagonjwa wanakufa kizembe kwa kukosa dawa,unaamshwa usiku, mshahara mdogo, marupurupu mpaka uvuje mpaka serum, uko exposed kwenye magonjwa zaidi.
mkuu policy zinabadilika! be careful!
Maduka mangapi yaliyopo? Utapeleka cheti mpaka duka la dawa muhimu!!! Naamini aangalie kile moyo wake upendacho.kuweka cheti tu kwenye duka la mtu unabeba m kwa mwezi
Maduka mangapi yaliyopo? Utapeleka cheti mpaka duka la dawa muhimu!!! Naamini aangalie kile moyo wake upendacho.
Maduka mangapi yaliyopo? Utapeleka cheti mpaka duka la dawa muhimu!!! Naamini aangalie kile moyo wake upendacho.
Si muda mrefu kutoka sasa sera zinakwenda kubadilika, na masuala ya kutundika cheti itakuwa historia. Hata hivyo Pharmacist katika Tanzania hawatumii elimu yao ipasavyo, nadhani ni kama 2-5% ya elimu yao. Kwa nini bado tunaangiza dripu toka nje?? kwa nini tunaangiza gauze wakti tuna pamba ya kutosha?? kwa nini mnawadanganya watanzania kwa kuwauzia quinine syrup wakati stability yake ni ndogo, kwa nini hfanyi compounding? kwa nini mnauza Eusol wakti inatakiwa iwe freshly prepared??
Inabidi wafamasia wa kitanzania muone kwa jicho la tatu, thereis a lot of oppurtunity katika nchi hii, wake up.
medicine unaenda bila shida kikubwa ufaulu form six labda competetion iwe kubwa kuliko maelezo ila pharmacy kama competetion kubwa na mswaki wako wa math itakuwia ngumu kidogo.