Medical Students Mwaka wa 3 (MD3) wa ST.Francis wote wameachishwa chuo

Swala la busara nikukubali kuwa mmekosea, hata kama madai yenu ni ya hhaki.Kumbukeni sfuchas ni taasisi ya dini, hivyo wana maamuz yao binafsi chini ya baraza LA maaskofu TEC, ambayo hata serikali haiwezi kuingilia kuwatetea in case wakaamua kuwa futa kabisa. Ushauri wangu andikeni barua kwa baraza LA maaskofu kupitia kwa principal Wa chuo kukiri makosa , hata kama sio makosa na muombe msamaha kwa dhati huenda wakawa same he.Ila kwa hao waliodisco inabidi wakutane na maaskofu USO kwa USO may be it can work
Fact , cha muhim ni kua wapole tu na kuomba radhi kwa uongozi wa chuo na baraza la maaskofu hamna namna, ndo maana seminary hua wanaweza kufuta darasa zima na serikali isifanye kitu
 
Mbona hawaja cc bodi ya mikopo..wizara ya elimu na tcu.

Maana bodi wanatoa hela.

Tcu imewapa wanafunzi.

Wizara wasimamizi.

Hao wanacheza rede na sheria zao za chuo
.
 
Ukiingia kwenye vyuo vya kirumi ,soma sheria zao uzielewe, hawa jamaa hawana mchezo, ukiona huendani nao bora kufanya transfer mapema mwaka wa kwanza
 
Jamani hii sio haki kabisa wala sio fair kuwafanyia watu hivi!,Hawa watu wamelipa Ada,wamepoteza mda wao miaka 3 sio mchezo halafu unakuja kuwapa Disco kwa sababu ambazo hazina Mashiko sanaa! Hii ni laada kwa alie fanya hiviii jamani

Duuui huruma inanishika sanaaa hasa machungu ya kupoteza miaka na ada pengine wachache ndo walio sababisha hata hivyo,Ujue wanafunzi hadi waanzishe element za mgomo kuna kitu/Vitu vinakuwa haviendi sawa so wangekaa kuwasikiliza

Wadau manasemaje mimi naona hii sio Fair
d57dc54b11d66052dc780e8f8b154e11.jpg
Vijana waende mahakamani. Mjifunze wazazi, hivyo vyuo vya kipuuzi msiwapeleke watoto. Medical school haianzishwi kwa kubadilisha FBO health institute kuwa medical school/college overnight kama ilivyofanyika kwa chuo hicho eti kwa vile kuna hospitali!
 
Bora wamewafukuza maana wangeweza kusababisha mauaji maana hawana adabu. Siku hizi vitoto vinataka dezo dezo tu kila kitu, yaani mpaka kufaulu wanataka wapewe maksi. Mi ningekuwa chuo ningedaka wote wakome, maana ni whatsapp, fb, instag, etc na michepuko, na mipira, unakuta mwanafunzi anajua majina ya wachezaji wa mpira zaidi ya majina ya walimu wake wa masomo
 
"Mkitaka FUKUZA wote, majengo tufugie Kuku maana ndo tunaliweza. Natania tu mjomba lakini nikipata nauli nitakuja" Mrisho Mpoto.
 
Kumbe unakubaliana na mimi! Sure nilisoma huko, na bado chuo ni Muhimbili. Cuhas wanajitahidi sana. Huko Ifakara walimu waliwapata wapi au ni hao MDs kwa vile ni madakitari wanafundisha medical school! This is wrong, you need highly trained teaching staff and not mere MD degree holders

Hahaha muhas hamna kitu imebaki jina tu, kwasasa hivi nipeleke kule mwanza au moshi KCMC ! Muhimbili anakamata namba 3 labda ..
 
Hahaha muhas hamna kitu imebaki jina tu, kwasasa hivi nipeleke kule mwanza au moshi KCMC ! Muhimbili anakamata namba 3 labda ..
KCMC si ndio huwa inachukua waliofukuzwa Muhas. Fanya uchunguzi, ushahidi upo wa kutosha
 
Jamani hii sio haki kabisa wala sio fair kuwafanyia watu hivi!,Hawa watu wamelipa Ada,wamepoteza mda wao miaka 3 sio mchezo halafu unakuja kuwapa Disco kwa sababu ambazo hazina Mashiko sanaa! Hii ni laada kwa alie fanya hiviii jamani

Duuui huruma inanishika sanaaa hasa machungu ya kupoteza miaka na ada pengine wachache ndo walio sababisha hata hivyo,Ujue wanafunzi hadi waanzishe element za mgomo kuna kitu/Vitu vinakuwa haviendi sawa so wangekaa kuwasikiliza

Wadau manasemaje mimi naona hii sio Fair
d57dc54b11d66052dc780e8f8b154e11.jpg

Great Thinkers, someni vema hawa wamesimamishwa sababu ya mgomo na sio simu. Kazi kweli kweli. Hatakuelewa tangazo shida
 
Sharti langu kwanza JKT ndo mazungumzo yaanze.
Mmezidi.
Mara wezi wa mitihani
Mara vurugu
Mara ee.
Maisha hayana haki hata mahakama nazo sio zote zinatoa haki. Sembuse chuo.
 
Unabishana na mtu mwenye mihemko utamuweza
kuna watu mumekalilishwa vibaya sana,eti maaskofu hawaingiliwi kwenye maamuzi yao,kwa hiyo hata wakibaka watu na kuvuta bangi openly waachwe kwa kuwa wao ni maaskofu,soma hiyo PDF ndio ujue mimi na wewe nani anaendeshwa kwa hisia
 

Attachments

  • TAARIFA KWA UMMA - SFUCHAS.pdf
    96.5 KB · Views: 29
Back
Top Bottom