Medical Students Mwaka wa 3 (MD3) wa ST.Francis wote wameachishwa chuo

hivi vyuo vya mashirika ya dini madikteta wee,tulipata bahat kurud kwa batch lakini tulipewa madodoso tujaze(na ule uoga aisee tuliwakandamiza viongozi wetu ili sisi tupone,nafsi zinatusuta kwa unafiki hadi leo) ,hayo madodoso yalikuwa yanahitajika kama ushahidi mahakamani maana rais wa chuo na CR FR wetu na watu wachache ndo wakatolewa kafara,hatukumaliza nao chuo,kesi ikawa inarindima tuu huko mahakamani.sisahaugi mambo ya kuboycot asee hadi leo barua za kusimamishwa chuo nnazo na zile za kukiri kosa na kuomba msamaha nnazo,nikizionaga huwa natabasam kwa huzuni tuu.
 
my take,kabla mtu hujagoma fikiria vizuri kwanza maana haya mambo ya migomo wazazi wanaolipa ada hawatak kabisa kuyasikia,usifuate mkumbo kugoma.sisi kwetu kuna watu ambao hawakugoma,kulikuwa na utengano ila moyoni unaona kama "bora hata wao hawakugoma" badae tukasahau na utengano ukaisha.fikiria sana kugoma,goma inapobidi na make sure upo safe kugoma na umefuata sheria hadi kugoma.
 
Vyuo vya kipuuzi, chuo ni Muhimbili tu! Narudia chuo cha Medicine ni Muhimbili tu! Muhimbili tu! May be CUHAS, lakini ndio hao hao!
Itakua ulisoma zaman so bado unaongozwa na imani zako.Usifananishe taasis za serikal na za watu binafsi.Huko kwa wanaolipa ada hawana story za tutafanya practical hela ikija.
 
Hahaha lowasa atawaua mnazungusha mikono na kusikiliza porojo za akina Malisa wachumia tumbo..
 
Itakua ulisoma zaman so bado unaongozwa na imani zako.Usifananishe taasis za serikal na za watu binafsi.Huko kwa wanaolipa ada hawana story za tutafanya practical hela ikija.
Kumbe unakubaliana na mimi! Sure nilisoma huko, na bado chuo ni Muhimbili. Cuhas wanajitahidi sana. Huko Ifakara walimu waliwapata wapi au ni hao MDs kwa vile ni madakitari wanafundisha medical school! This is wrong, you need highly trained teaching staff and not mere MD degree holders
 
Daaah hiii imenikumbusha Udom(INFORMARTICS) 2010 daaah tulisota nymbani na tukapompoteza spika wetu kipenzi poleni wanachuo wote mlokumbwa na majanga hayo kuna jamaa yangu hapo melensio alix
 
[23:42, 5/19/2016] Muthaa: Ndo ivyo mazee! Kuna watu wanajikuta wana mandate sana, hata kuhojiwa hawataki, wakifanya makosa kurekebisha hawataki....



Ni mkusanyiko wa matukio mengi yalochukua takribani wiki mbili huku md3 na utawala wa chuo tukiwa kwny mzozo ambao chuo kimeshindwa kusuluhisha...
[23:42, 5/19/2016] Muthaa: Class zima, cjui na chuo ni kama seseminary. Cjui waliwaza nn?
[23:42, 5/19/2016] Muthaa: Things are difficulty kwa sasa maana ni all MD3 SFUCHAS NOTICE AS IT SAYS KUNA A ADEMIC CRISIS SINCE UE RESULTS WERE OUT.. IKATOKEA KWAMBA PHARMACOLOGY WALISHIKWA WANAFUNZI 100 KATI YA 120 PAEDIATRICS WALISHIKWA 80 KATI YA 120 NA PIA INTERNAL MEDICINE SURGERY NA OBGY MATOKEO STILL NOW YAKO WITHELD UNTIL FURTHER NOTES IKATOKEA SHIDA KATI YA HAO WANAFUNZI 120 KUNA WANNE WALITAKIWA KUDISCO.. NDIPO MGOGORO ULIPOANZIA NA KUFIKIA WATU WOTE KUAMUA KUOMBA MTIHANI WA ENT USIFANYIKE MPAKA SULUHU YA MATOKEO IPATIKANE NA IKAJA HOJA KWAMBA HAWAKUBALIANI NA MMWENENDO WA ACADEMIC COORDINATOR WA MD PROGRAMME NA LECTURER WA PAEDIATRICS WALITAKA HAO WATU WAWILI WABADILISHWE NA LECTURER WA PAEDIATRICS ASIWE TENA MWALIMU WAO... MZOZO ULIKUWA MKUBWA NDIPO MD3 WAKAAMUA KUGOMA KUFANYA MTIHANI WA ENT NA KUINGIA CLASS WILIKAA CHINI WAKAENDA KWA PPROFESOR AMBAE NI MKUU WA CHUO WAKAFIKISHA MMALALAMIKO YAKO HAWAKUPATA MAJIBU MAZURI WAKAOMBWA KURESUME ACADEMIC PROCESS WAKAKATAA NA KUENDELEA MGOMO WALIALIKWA KUCHUKUA BARUA ZA ONYO WAKAKATAA KWENDA NA HAKUKUWA NA MTU ALIYECHUKUA BARUA... WAKAOMBWA WAONGEE NA. MWENYEKITI WA SFUCHAS GOVERNING BOARD AMBAYE NI ASKOFU WA KANISA KATOLIKI JIMBO LA IFAKARA WAKAMWELEZA SHIDA ZAO ILIKUWA JUZI NA ALIWAAHIDI TATIZO LAO MOJA TU NDILO LITAPATIWA UFUMBUZI KWAMBA ACADEMIC COORDINATOR ATABADILISHWA LAKINI WATU WALIOFELI ITABIDI WAFANYE SUPPLEMENTARY EXAM NA WALE WENGINE WANNE WATAISCO...ILIKUWA NI JANA WAKAPEWA NOTICE WARUDI DARASANI KUENDELEA NA MASOMO MAJIRA YA SAA NNE MPAKA SAA SITA LAKINI NA WASAINI KWAKBA WAMMEKUBALI MURESUME CLASSES LAKINI WALIONA NI MTEGO WANAWEKEWA NDIPO WOTE KWA UMOJA WAO WAKAAMUA KUTOTII AMRI HIYO NA HAKUNA ALIYEKUBALI KURUDI DARASANI MPAKA MADAI YAO YOTE YAFANYIWE KAZI.. LEOO...JANA WALIPEWA ONYO NA NOTICE KWAMBA ATAKAYEKAIDI KUSIGN KUWA ATARUDI CLASS JANA BILA SABABU BASI ITAKUWA AMMRTERMINATE MASOMO YAKE YAANI LUGHA YA KISHERIA NI SUMMARY DISMISAL... FROM STUDIESS YAANI DISCONTINUATION FROM STUDIES (DISCO) NDIPO LEO WAMETOA TANGAZO KUWA MD3 WOTE WAKO DISMISSED AND DISCONTINUED FROM MD PROGRAMME AT SFUCHAS..

Siezi kuandika yote, ila huyu aloandika hii kajitahidi kimtindo.....
[23:44, 5/19/2016] Muthaa: Bt nina matumaini tutashinda kwa kua till this tym hawajatupa matokeo, means probably hawakusahihisha, probably wamekadiria tu maksi......
(Maelezo ya mmoja wa wahanga)
Hapo ndo tatizo la Kiuongozi linapokujaga Wengi wao Hawajui kutatua Matatizo mimi ambacho huwa naamini Hadi mwanafunzi afikie kugomea vitu kama Hivyo huwa wanakuwa wameshindwa kabisa kuvumilia wangapi vyuoni tunawakataa waalimu wengi tuuu na wanatokaaaa.......pia swala la kumkataa mwalimu hata waalimu wengine hushiriki kutushawishi kumkataa haiwezekani watu 100 wafeli kati 120 akiwa anafanya nini sasa mkuu wa chuo ameshindwa kuongoza nafasi yake
 
my take,kabla mtu hujagoma fikiria vizuri kwanza maana haya mambo ya migomo wazazi wanaolipa ada hawatak kabisa kuyasikia,usifuate mkumbo kugoma.sisi kwetu kuna watu ambao hawakugoma,kulikuwa na utengano ila moyoni unaona kama "bora hata wao hawakugoma" badae tukasahau na utengano ukaisha.fikiria sana kugoma,goma inapobidi na make sure upo safe kugoma na umefuata sheria hadi kugoma.
Utakuwa wa Udom wewe
 
Swala la busara nikukubali kuwa mmekosea, hata kama madai yenu ni ya hhaki.Kumbukeni sfuchas ni taasisi ya dini, hivyo wana maamuz yao binafsi chini ya baraza LA maaskofu TEC, ambayo hata serikali haiwezi kuingilia kuwatetea in case wakaamua kuwa futa kabisa. Ushauri wangu andikeni barua kwa baraza LA maaskofu kupitia kwa principal Wa chuo kukiri makosa , hata kama sio makosa na muombe msamaha kwa dhati huenda wakawa same he.Ila kwa hao waliodisco inabidi wakutane na maaskofu USO kwa USO may be it can work
Acha uoga wewe hao baraza la maaskofu wawe na maamuzi yao kama nani, kwenye nchi huru kama Hii, acheni hizo mentality za uoga nao ni binadamu wanakunya wanajamba na wanasimamisha penis na kumwagia semen kama wanaume wengine tu
 
Acha uoga wewe hao baraza la maaskofu wawe na maamuzi yao kama nani, kwenye nchi huru kama Hii, acheni hizo mentality za uoga nao ni binadamu wanakunya wanajamba na wanasimamisha penis na kumwagia semen kama wanaume wengine tu
Issue ni kwamba wao ndo wenye chuo washaamua na hii ni nchi huru sawa utawafanya nini???Hao wamekosea inabidi wawe wapole tu kuomba msamaha sio unawajaza viburi ambavyo vitacost maisha yao.
 
Issue ni kwamba wao ndo wenye chuo washaamua na hii ni nchi huru sawa utawafanya nini???Hao wamekosea inabidi wawe wapole tu kuomba msamaha sio unawajaza viburi ambavyo vitacost maisha yao.
Nani kasema wao ndio wenye chuo, Hio ada wanayolipana mishahara ni sadaka wanazokusanya wao? , acheni uoga watanzania,sheria Lazima itafata mkondo wake, haiwezekani serikali ipoteze billion of money kwa ajili ya upuuzi wa maamuzi ya kukurupuka kwa kisingizio cha nizamu cha hao maaskofu wako unaowaabudu, nawe una ushahidi gani ya kuwa wenye makosa ni wanafunzi tu uongozi wa chuo hauna makosa?
 
Nani kasema wao ndio wenye chuo, Hio ada wanayolipana mishahara ni sadaka wanazokusanya wao? , acheni uoga watanzania,sheria Lazima itafata mkondo wake, haiwezekani serikali ipoteze billion of money kwa ajili ya upuuzi wa maamuzi ya kukurupuka kwa kisingizio cha nizamu cha hao maaskofu wako unaowaabudu, nawe una ushahidi gani ya kuwa wenye makosa ni wanafunzi tu uongozi wa chuo hauna makosa?
Washauri wakafungue kesi mahakamani huku wakijiandaa kisaikolojia kwa kushinda au kushindwa.
 
Nani kasema wao ndio wenye chuo, Hio ada wanayolipana mishahara ni sadaka wanazokusanya wao? , acheni uoga watanzania,sheria Lazima itafata mkondo wake, haiwezekani serikali ipoteze billion of money kwa ajili ya upuuzi wa maamuzi ya kukurupuka kwa kisingizio cha nizamu cha hao maaskofu wako unaowaabudu, nawe una ushahidi gani ya kuwa wenye makosa ni wanafunzi tu uongozi wa chuo hauna makosa?
Me sijawahi kuabudu mtu bt kila taasis inasheria zake.We kazana na izo hela za serikal ka vle we ndo mwakilishi wao.
 
Me sijawahi kuabudu mtu bt kila taasis inasheria zake.We kazana na izo hela za serikal ka vle we ndo mwakilishi wao.
Basi anzisha taasisi yako alafu muwe munavuta tu bangi open, Kuna sheria mama za nchi wewe ingekuwa hivo kusingekuwa na haja ya kuwa na serikali
 
Basi anzisha taasisi yako alafu muwe munavuta tu bangi open, Kuna sheria mama za nchi wewe ingekuwa hivo kusingekuwa na haja ya kuwa na serikali
Kwaio mtu akigoma kufanya mtihan we utamfanyaje??.....utaenda kumnunulia mananasi ale ili uangalie amekula kiasi gan ukadilie marks.
 
Kwaio mtu akigoma kufanya mtihan we utamfanyaje??.....utaenda kumnunulia mananasi ale ili uangalie amekula kiasi gan ukadilie marks.
Je unajua kwa nini amegoma kufanya mtihani?, ni mara ya ngapi amegoma kufanya mtihani?, je umesikiliza Sababu za wanafunzi kugomea kufanya mtihani?, je kama prospectus inasema course usome wiki 5 na mukafundishwa wiki moja, Kuna uhalali wa kufanya mtihani?..... #sheria sio kisu kwamba adhabu ya kuuua ni kunyongwa, Kuna kuua bila kukusudia wewe, acha hizo mentality za kuamini kila anachofanya kiongozi wa dini ndio sahihi.

NB. Hiyo ni home work, unaweza jibu hata kesho hayo maswali, Ila ni Lazima uyajibu ndio tuendelee na mjadala.
 
[23:42, 5/19/2016] Muthaa: Ndo ivyo mazee! Kuna watu wanajikuta wana mandate sana, hata kuhojiwa hawataki, wakifanya makosa kurekebisha hawataki....



Ni mkusanyiko wa matukio mengi yalochukua takribani wiki mbili huku md3 na utawala wa chuo tukiwa kwny mzozo ambao chuo kimeshindwa kusuluhisha...
[23:42, 5/19/2016] Muthaa: Class zima, cjui na chuo ni kama seseminary. Cjui waliwaza nn?
[23:42, 5/19/2016] Muthaa: Things are difficulty kwa sasa maana ni all MD3 SFUCHAS NOTICE AS IT SAYS KUNA A ADEMIC CRISIS SINCE UE RESULTS WERE OUT.. IKATOKEA KWAMBA PHARMACOLOGY WALISHIKWA WANAFUNZI 100 KATI YA 120 PAEDIATRICS WALISHIKWA 80 KATI YA 120 NA PIA INTERNAL MEDICINE SURGERY NA OBGY MATOKEO STILL NOW YAKO WITHELD UNTIL FURTHER NOTES IKATOKEA SHIDA KATI YA HAO WANAFUNZI 120 KUNA WANNE WALITAKIWA KUDISCO.. NDIPO MGOGORO ULIPOANZIA NA KUFIKIA WATU WOTE KUAMUA KUOMBA MTIHANI WA ENT USIFANYIKE MPAKA SULUHU YA MATOKEO IPATIKANE NA IKAJA HOJA KWAMBA HAWAKUBALIANI NA MMWENENDO WA ACADEMIC COORDINATOR WA MD PROGRAMME NA LECTURER WA PAEDIATRICS WALITAKA HAO WATU WAWILI WABADILISHWE NA LECTURER WA PAEDIATRICS ASIWE TENA MWALIMU WAO... MZOZO ULIKUWA MKUBWA NDIPO MD3 WAKAAMUA KUGOMA KUFANYA MTIHANI WA ENT NA KUINGIA CLASS WILIKAA CHINI WAKAENDA KWA PPROFESOR AMBAE NI MKUU WA CHUO WAKAFIKISHA MMALALAMIKO YAKO HAWAKUPATA MAJIBU MAZURI WAKAOMBWA KURESUME ACADEMIC PROCESS WAKAKATAA NA KUENDELEA MGOMO WALIALIKWA KUCHUKUA BARUA ZA ONYO WAKAKATAA KWENDA NA HAKUKUWA NA MTU ALIYECHUKUA BARUA... WAKAOMBWA WAONGEE NA. MWENYEKITI WA SFUCHAS GOVERNING BOARD AMBAYE NI ASKOFU WA KANISA KATOLIKI JIMBO LA IFAKARA WAKAMWELEZA SHIDA ZAO ILIKUWA JUZI NA ALIWAAHIDI TATIZO LAO MOJA TU NDILO LITAPATIWA UFUMBUZI KWAMBA ACADEMIC COORDINATOR ATABADILISHWA LAKINI WATU WALIOFELI ITABIDI WAFANYE SUPPLEMENTARY EXAM NA WALE WENGINE WANNE WATAISCO...ILIKUWA NI JANA WAKAPEWA NOTICE WARUDI DARASANI KUENDELEA NA MASOMO MAJIRA YA SAA NNE MPAKA SAA SITA LAKINI NA WASAINI KWAKBA WAMMEKUBALI MURESUME CLASSES LAKINI WALIONA NI MTEGO WANAWEKEWA NDIPO WOTE KWA UMOJA WAO WAKAAMUA KUTOTII AMRI HIYO NA HAKUNA ALIYEKUBALI KURUDI DARASANI MPAKA MADAI YAO YOTE YAFANYIWE KAZI.. LEOO...JANA WALIPEWA ONYO NA NOTICE KWAMBA ATAKAYEKAIDI KUSIGN KUWA ATARUDI CLASS JANA BILA SABABU BASI ITAKUWA AMMRTERMINATE MASOMO YAKE YAANI LUGHA YA KISHERIA NI SUMMARY DISMISAL... FROM STUDIESS YAANI DISCONTINUATION FROM STUDIES (DISCO) NDIPO LEO WAMETOA TANGAZO KUWA MD3 WOTE WAKO DISMISSED AND DISCONTINUED FROM MD PROGRAMME AT SFUCHAS..

Siezi kuandika yote, ila huyu aloandika hii kajitahidi kimtindo.....
[23:44, 5/19/2016] Muthaa: Bt nina matumaini tutashinda kwa kua till this tym hawajatupa matokeo, means probably hawakusahihisha, probably wamekadiria tu maksi......
(Maelezo ya mmoja wa wahanga)
Kumbe kuna kufeli kama mfeli hakuna kutetewa kabisa.
 
Back
Top Bottom