Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
GSM imewalipia mashabiki wa Yanga viingilio kwenye mechi ijayo na Mediama lakini getini uwe umevaa jezi original.
Huu ni ujuha na siyo msaada jezi kuwa ticket ya kuingia uwanjani,wote tunapenda kuangalia mpira,huwezi kupanga wote tuvae jezi za Yanga ndo tuingie uwanjani.
Na wala siyo bure,ina maana gani watu kulipiwa tickets wakati kiingilio uwe na jezi
Huu ni ujuha na siyo msaada jezi kuwa ticket ya kuingia uwanjani,wote tunapenda kuangalia mpira,huwezi kupanga wote tuvae jezi za Yanga ndo tuingie uwanjani.
Na wala siyo bure,ina maana gani watu kulipiwa tickets wakati kiingilio uwe na jezi