Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 639
Ndio mech kati ya wabunge wa yanga na simba
UPDATE zitto anachezea simba ni noma kumbe na mpra anaujua . Nchemba nae yupo ft anachezea yanga
Kamanda lissu yupo uwanjani?
Ndio mech kati ya wabunge wa yanga na simba
UPDATE zitto anachezea simba ni noma kumbe na mpra anaujua . Nchemba nae yupo ft anachezea yanga
Acha upoyoyo timu ulizo zitaja ni matawi ya Simba na Yanga na wachezaji wengi wa timu hizo utakuta ni wanazi wa ama Simba au Yanga na yanga na Simba hawajaua soka nchii.. kinachouwa soka ni mfumo mzima wa soka la tanzania kuanzia TFF...
.......... Nasikia Lusinde alikuwa akiichezea Yanga alikuwa akimmwagia matusi refa akapigwa red na kushia kusema kudadadadake. ......
Mimi ni Yanga damu, niliposikia huyu Mwigulu Nchemba eti naye yupo kwenye list ya Yanga nilikinai hapo hapo na kuanza kuiombea Simba iifunge timu yangu ya Yanga ikiwezekana hata magoli 20.