Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Wachezaji wamevaa jezi zenye nembo ya Kilimamjaro Premium Lager.
tujuze jinsi Yanga analambwa bao
tujuze jinsi yanga analambwa bao
Wachezaji wamevaa jezi zenye nembo ya Kilimamjaro Premium Lager.
Vipi Ng'wanangwa Mbona umelichakachua hili jukwaa?
What happened to Sport & Entertainment?
kazi na dawa. mods watafanya kazi yao.
lakini hii nadhani ni zaidi ya mpira au mechi.
ni ishu ya siasa za zanzibar kupiga vita ulabu na matangazo yanayohusu ulabu katika mambo yao.
Wachezaji wamevaa jezi zenye nembo ya Kilimamjaro Premium Lager.
kazi na dawa. mods watafanya kazi yao.
lakini hii nadhani ni zaidi ya mpira au mechi.
ni ishu ya siasa za zanzibar kupiga vita ulabu na matangazo yanayohusu ulabu katika mambo yao.
Kwa vilabu vya Zanziba!!Imekuwaje tena.. nembo ya Kilimamjaro Premium Lager kwenye mapinduzi ya Zanzibar?? Kuna wakati footbal association ya ZNZ (FAZ) walipiga marufuku matangazo ya mashirika ya pombe!
SIMBA WAMEIPASUA NDALA 2-0.
Nadhani utaibuka mgogoro mkubwa huko yanga!