M Mjanja M1 JF-Expert Member Oct 7, 2018 3,660 12,310 Mar 27, 2024 #1 Mzazi mtoto wake hata awe mbaya kiasi gani na hamuui, awe shoga, mwizi, jambazi bado asilia 98 ya wazazi hawatowaua watoto wao. Iweje Mungu wetu wa upendo atuchome sisi watoto wake kwa sababu ya ugomvi wake yeye na shetani?
Mzazi mtoto wake hata awe mbaya kiasi gani na hamuui, awe shoga, mwizi, jambazi bado asilia 98 ya wazazi hawatowaua watoto wao. Iweje Mungu wetu wa upendo atuchome sisi watoto wake kwa sababu ya ugomvi wake yeye na shetani?
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,993 69,393 Mar 27, 2024 #3 Mjanja M1 said: View attachment 2946047 Click to expand... KWANI NANI AMESHAWAHI KUCHOMWA?