Dr Slaa amezungumza vizuri sana. Kwa yeyote yule mwenye mapenzi ya kweli na Tanzania na alibahatika kuangalia kipindi kile ni lazima ampe kura Dr Slaa, vinginevyo mtu huyo haitakii mema nchi yetu. Nilikuwa nimekaa na wadada wawili ambao wote kabla ya mdahalo kuanza walisema kura zao watampa Kikwete na wabunge wa CCM hata kabla ya kipindi kuisha walikuwa wamebadili mawazo na kusema kwamba kura zao watampa Dr Slaa na wagombea ubunge wa chadema. Hongera sana Dr Slaa, hongera sana chadema kwa kuwa makini sana katika kampeni zenu zilizowawezesha kuzikonga nyoyo nyingi za Watanzania.
Hamna kitu kwenye hii link mkuu.Kwa ambao hawakusikiliza mdahalo huu hapa (audio only): http://chirb.it/fcOCNK
Jamani mwenzenu nina raha moyoni mpaka basi. God bless Tanzania. God bless Dr. Slaa
:frustyuhh! Wadau wengi wa jamii forum naona wako nje ya nchi sasa nani atapiga kura?:smash:
Wakati wa Ukombozi ni huu
nadhani vibaraka,makada na wadau wa thithiem kama vile thalma,ridhi,miraj,mkamb,jw,jeykey,na kinana wamepata heart attack baada ya kusikiliza mdahalo wa slaa,ile familia ya ikulu sijui iko katika hali gani now
Umepigwa changa la macho.:frustyuhh! Wadau wengi wa jamii forum naona wako nje ya nchi sasa nani atapiga kura?:smash:
Labda tatizo ni mashine yako. mimi nimeipata na iko clear kabisa ingawa si mdahalo woteHamna kitu kwenye hii link mkuu.