Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Wanajumuiya salaam
Mie ODM wa wajukuu nimepitia sredi moja nikakutana na malumbano ya "who comes first" linapokuja swala la nani zaidi kati ya watoto Vs Mke/mme kwenye familia. Yaani who comes first kwenye kupenda, kujali, kujivunia, kujisifia etc.
Hebu angalieni hii misimamo
Wa kwanza
"My kids drive me crazy, i love them to the core...... they are sooo nice to me, and they are the force behind my search for a greener pasture, and no one can change it
I have never felt that love from anyone in my life, no broken promises, no late appointments, no excuses no questions and no arguments nor inspections and poking of my private life....they are just beautiful trusting creatures
Kwa wanangu, nothing comes before them, i can take bullets"........... MTM
Wa pili
"I love my kids more than their mum, period!
unconditional love!"..................... Mbu
Wa tatu
"Nyie watu sio kwamba mnatumia unvariable measures kupima upendo kwa wake/spouses wenu na watoto wenu?
Mnasema they have pure love, they have uncondition sijui nini, c'mon guys what do you expect? wabehave kama wake zenu kwani wao ni wake zenu? There is no way mtoto atakupenda tofauti kwa kuwa ni mtoto na katu huwezilinganisha trust yake yeye kama mwanao na ile itokayo kwa mkeo! Kila mmoja anaplay kutokana na nafasi yake katika maisha yako bwana hebu acheni hizo!
Mlishawahijiuliza how do we feel (and the same linaapply kwa wanaume) when you put much love, time kwa watoto wetu zaidi ya wenzi wetu?! au tunajiona ni right kwa kuwa tu ni right na mnaashumu inaeleweka kwa kuwa tu inaeleweka?".................... MwanajamiiOne
Source: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/183740-the-best-way-to-breakup-is-there-any-3.html
Nilitaka niweke na mie kamsimamo kangu kule lakini nikaona hili linahitaji mjadala unaojitegemea.
Kwangu mie wife comes first kwa kuwa:
1. Nilimpenda yeye hata kabla hatujapata watoto
2. Tusingejaliwa kupata mtoto nisingekuwa na option, angebakia kuwa yeye
3. Yeye ndiye aliyenizalia hao watoto ambao wengine ndo wanasema "wanawapenda zaidi ya mama zao
4. Ndiye chaguo langu la ukweli, sina uhakika kama hao watoto ni damu yangu kiukweli
5. Ndiye msaada wangu mkuu napokuwa matatizoni, nikiugua anavyo nihangaikia, nyie acheni tu!
6. Nikirudi nimepiga maulabu yangu, ananifungulia mlango na kunitengea chakula bila kinyongo
7. Anahakikisha niko nadhifu,
8. Napokuwa nimechacha ananielewa na kunivumilia
9. Alikubali kwa hiyari yake kuyapiga kibuti midume yooooote iliyokuwa inamsarandia akaja kwangu tena kwa kiapo kuishi nami katika shida na raha mpaka Ziraili atakapoamua kufanya vitu vyake.
Msimamo wangu:
Raha kwa watoto ni kuwaona wazazi wakipendana na kisha wao wazazi kwa pamoja kuwapenda watoto.
Baada ya kusema hayo naomba kusikia na wengine wanasemaje.
Niko kitandani huku, nawaangalia tu.
Onyo: Hairuhusiwi kuchakachua.
Refarii wa Sredi: PAW.
Mie ODM wa wajukuu nimepitia sredi moja nikakutana na malumbano ya "who comes first" linapokuja swala la nani zaidi kati ya watoto Vs Mke/mme kwenye familia. Yaani who comes first kwenye kupenda, kujali, kujivunia, kujisifia etc.
Hebu angalieni hii misimamo
Wa kwanza
"My kids drive me crazy, i love them to the core...... they are sooo nice to me, and they are the force behind my search for a greener pasture, and no one can change it
I have never felt that love from anyone in my life, no broken promises, no late appointments, no excuses no questions and no arguments nor inspections and poking of my private life....they are just beautiful trusting creatures
Kwa wanangu, nothing comes before them, i can take bullets"........... MTM
Wa pili
"I love my kids more than their mum, period!
unconditional love!"..................... Mbu
Wa tatu
"Nyie watu sio kwamba mnatumia unvariable measures kupima upendo kwa wake/spouses wenu na watoto wenu?
Mnasema they have pure love, they have uncondition sijui nini, c'mon guys what do you expect? wabehave kama wake zenu kwani wao ni wake zenu? There is no way mtoto atakupenda tofauti kwa kuwa ni mtoto na katu huwezilinganisha trust yake yeye kama mwanao na ile itokayo kwa mkeo! Kila mmoja anaplay kutokana na nafasi yake katika maisha yako bwana hebu acheni hizo!
Mlishawahijiuliza how do we feel (and the same linaapply kwa wanaume) when you put much love, time kwa watoto wetu zaidi ya wenzi wetu?! au tunajiona ni right kwa kuwa tu ni right na mnaashumu inaeleweka kwa kuwa tu inaeleweka?".................... MwanajamiiOne
Source: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/183740-the-best-way-to-breakup-is-there-any-3.html
Nilitaka niweke na mie kamsimamo kangu kule lakini nikaona hili linahitaji mjadala unaojitegemea.
Kwangu mie wife comes first kwa kuwa:
1. Nilimpenda yeye hata kabla hatujapata watoto
2. Tusingejaliwa kupata mtoto nisingekuwa na option, angebakia kuwa yeye
3. Yeye ndiye aliyenizalia hao watoto ambao wengine ndo wanasema "wanawapenda zaidi ya mama zao
4. Ndiye chaguo langu la ukweli, sina uhakika kama hao watoto ni damu yangu kiukweli
5. Ndiye msaada wangu mkuu napokuwa matatizoni, nikiugua anavyo nihangaikia, nyie acheni tu!
6. Nikirudi nimepiga maulabu yangu, ananifungulia mlango na kunitengea chakula bila kinyongo
7. Anahakikisha niko nadhifu,
8. Napokuwa nimechacha ananielewa na kunivumilia
9. Alikubali kwa hiyari yake kuyapiga kibuti midume yooooote iliyokuwa inamsarandia akaja kwangu tena kwa kiapo kuishi nami katika shida na raha mpaka Ziraili atakapoamua kufanya vitu vyake.
Msimamo wangu:
Raha kwa watoto ni kuwaona wazazi wakipendana na kisha wao wazazi kwa pamoja kuwapenda watoto.
Baada ya kusema hayo naomba kusikia na wengine wanasemaje.
Niko kitandani huku, nawaangalia tu.
Onyo: Hairuhusiwi kuchakachua.
Refarii wa Sredi: PAW.