Jamani apa naongelea suala la security hawa jamaa wenyewe kwa wenyewe wana bifu sasa wakibaki alone si patafuka moshi
usiwaze hivo,kuwaza hivo ni kuonesha kua hakuna njia mbadala ya maisha tena,,,,,,ina maana bara wanawapenda sana wazenji kiasi kwamba hawataki kuwaona wakiuana???mbona january 2001 mkapa ndo alihusika kuwaua wazenji????wale tukijitenga nao wataish tu jamani,,,,kWATANGANYIKA SISI YUSIJIFANYE TUNAWAHURUMIA SANA WAZENJI,NI UNAFIKI HUO