Innocizy
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,736
- 1,047
Ama kweli mbaya wa mwanamke ni mwanmke mwenyewe.....hivi kweli ujasili na uthubutu wa kumfanyai hivyo mwana wa mwenzio unautoa wapi??
Inatukumbusha machungu ya mwezi uliopita ya yule jamaa wa kule Kiwalani aliyeliwa mtaro/ marinda na wanaojiita vidume , ila mwisho wa siku aibu yao na sasa wananyea ndoo.
Unaambiwa huko gerezani wao ndo wamegeuzwa ma Mrs wa mule.....ujiiinga unakugharimu maisha...
Ama kweli watu wanaangamia kwa kukosa maarifa.