Mark Francis
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 605
- 310
oooooh, kumbe ni vile vikanisa vyetu pale Tanganyika packers? Hivi ni vikanisa vya CCM na mara nyingi kila Jumapili vinakuwa na mgeni rasmi toka CCM kutoa neno! Kwa maana hiyo hivi vikanisa ni idara ya TISS? Watu hawaogopi kumchezea mungu!
Umekosea hapo, sio vikanisa vya CCM. Tuliache hilo halina ushahidi