Huyo mchungaji anataka sadaka kubwa kesho.
..Kesho Gwajima atalamba sadaka za kufa mtu. Du bonge la promo.
Kwa hivyo anatumia jukwaa la kanisa kutoa tamko??-ubabaishaji mwingine huu.
FJM , usiwe mwepesi Wa kuongea, sidhani Kama kuna Mtu ana lazimishwa kutoa Sadaka
ana chombo cha habari kitakachorusha hiyo kitu?!!
Kesho siyo mbali, tuwe na subira
Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la ufufuo na Uzima kesho atatoa ukweli kuhusu kilichotokea kuhusu mtu aliyekamatwa. Mtu huyo anaonekana alitumwa akamteke mchungaji huyo ambaye anaikosoa sana serikali. Kama unaweza hudhuria ibada ya kesho pale Tanganyika Packers
Nilivyomsikia Ibaada inaanza mapema saa tatu hivi, ila mishale ya saa Tano yeye ndipo anapoanza kuongea, so kabla ya kuendelea Na mahubiri atafafanua kwanza utata huo, kisha baadae ataendelea Na mahubiri Kama kawaida.. Sasa Kama kuna waandishi wa Habari Na watu wengine baada ya fafanuzi lake wanaweza kuondoka, Sasa Muda wa Sadaka ni mwisho kabisa wa ibaada yote.. Sasa anayesema kwamba anaitwa Kwa Sadaka sidhani Kama atakuwa Na Busara hapa..
Mimi naona kuna mamluki wanataka kutibua Tusijue nini kiko nyuma ya Pazia..watanzania Wa Leo Tuko Na macho mingi..
Jamani please Don't touch these People of God....si tusubiri tusikie atachosema?..
..........ila hapo,. ni bonge la ministry Advertisement
fjm , usiwe mwepesi wa kuongea, sidhani kama kuna mtu ana lazimishwa kutoa sadaka
Huyo mchungaji anataka sadaka kubwa kesho.
..Kwahiyo twende Kanisani kwa wingi kesho?