Naitwa Joseph,natafuta mchumba awe na umri kuanzia miaka 18-25,mnene kiasi,mweupe au maji ya kunde na awe na urefu kuanzia ft 4.7-6.0,dini awe Rc,elimu kuanzia kidato cha nne na kuandelea.Aliye tayari tuwasiliane kupitia email address yangu josephmtonga@ymail.com