mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
HABARI WANA JF
Naombeni ushauri kwa hili!
Nina dada yangu ana rafiki yake mpenzi wameshibana sana na kuaminiana kiasi kwamba amekua kama mwanafamilia mwenzetu au ndugu......
Kutokana na maelewano hayo hadi marafiki wa shemeji wanamfahamu kama ndugu na ikatokea rafiki wa shemeji(mume wa dada) akatokea kumpenda kupitia dada na wamekua na mahusiano zaidi ya mwaka sasa!
Cha kushangaza ni kwamba siku moja huyu rafiki yetu(rafiki wa dada) akiwa safarini na shemeji yangu nae akiwa safarini huyo mchumba alikuja nyumbani na kuanza kumtongoza dada! Dada alichukia sana akamchukia sana huyo mwanaume hadi leo anamchukia maana aliona kama ile ni dharau... Huyo mwanaume tangu siku hiyo baada ya kukataliwa ameona aibu hata nyumbani hafiki kabsaaaa....
Sasa ameamua anataka kumwoa yule rafiki wa dada na huyo rafiki anataka kumpa dada majukumu kwenye hilo ila dada hataki kabsaa maana ameshamchukia huyo bwana na anamuona tu kama laghai wa mapenzi maana hana hata adabu.
Naombeni ushauri kwa hili!
Nina dada yangu ana rafiki yake mpenzi wameshibana sana na kuaminiana kiasi kwamba amekua kama mwanafamilia mwenzetu au ndugu......
Kutokana na maelewano hayo hadi marafiki wa shemeji wanamfahamu kama ndugu na ikatokea rafiki wa shemeji(mume wa dada) akatokea kumpenda kupitia dada na wamekua na mahusiano zaidi ya mwaka sasa!
Cha kushangaza ni kwamba siku moja huyu rafiki yetu(rafiki wa dada) akiwa safarini na shemeji yangu nae akiwa safarini huyo mchumba alikuja nyumbani na kuanza kumtongoza dada! Dada alichukia sana akamchukia sana huyo mwanaume hadi leo anamchukia maana aliona kama ile ni dharau... Huyo mwanaume tangu siku hiyo baada ya kukataliwa ameona aibu hata nyumbani hafiki kabsaaaa....
Sasa ameamua anataka kumwoa yule rafiki wa dada na huyo rafiki anataka kumpa dada majukumu kwenye hilo ila dada hataki kabsaa maana ameshamchukia huyo bwana na anamuona tu kama laghai wa mapenzi maana hana hata adabu.