MUNGU akufanyie wepesi bestBado best..
Kama hilo lako kwenye avatarHivi umbo zuri ndo lipoje????
Tukubali teknilojia ifanye kazi yake, leo mnabeza mtu kutafuta mchumba kwenye mitandao, lakini hizi ndoto hazikuwepo hapo kabla, kila kukicha mambo yanabadilika, mwisho waume na wake wataanza kuchumbiana kwa video humu humu mitandaoni
Weusi nao ni sumu unanikosesha mme