Teamanaconda
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 602
- 563
Alafu baada ya kufa Baba J ndio mwimbaji akawa dogo jack simela,au huyu dogo jack simela alikuwepo kitambo?
Ninao ila nimejaribu ku-apload nikutumie umekataa, kama hutojali nitumie namba yako ya WhatsApp nikutumie.Ahsante mkuu,ila nimeutafuta mtandaoni sijaupata,Kama unao nauomba,mimi jagwa ndio bendi yangu pendwa so nikajua wameimba wao
Mimi bhana naomba kujua hawa waliokuwa wanatajwa kwenye nyimbo za jagwa walikuwa na cheo gani kwenye bend,
1.Kamongo Manja(Manjalino)
2.Jolijo
3.Saidi Misape
4.Bonge mzito
4.Baba Dullah
Nimekutumia PMNinao ila nimejaribu ku-apload nikutumie umekataa, kama hutojali nitumie namba yako ya WhatsApp nikutumie.
Ok!ahsante sana kwa kunifahamisha,maana mi nilijua ni majina wale wapiga vyombo,unaweza kunitajia majina ya wapiga vyombo?1. Manjarino ni mdau mkubwa wa Jagwa
2.Jolijo ndio mkurugenzi wa Jagwa
3. Bonge Mzito ambae kwa sasa ni marehemu alikuwa shabiki mkubwa wa Jagwa ila alikuwa mwizi hatari miaka hiyo maeneo ya Mwananyamala, Tandale na Manzese
4. Baba Dullah nae ni mdau wa Jagwa.
Hapana, kwanza Baba J hakufariki akiwa uraiani alipelekwa mahabusu ambapo huko ndio umauti ulimkuta. Kwa hiyo baada ya Baba J kupelekwa Jera akaja muimbaji mwingine jina kidogo limenitoka ila kama unaujua wimbo wa Kondacta wa Chaukucha yule muimbaji ndio aliechukua nafasi ya Baba J.Alafu baada ya kufa Baba J ndio mwimbaji akawa dogo jack simela,au huyu dogo jack simela alikuwepo kitambo?
Ahsante sana kiongozi kwa darasa unalonipa,basi ndio maana kuna wimbo ameimba dogo jack unaitwa maisha popote,kumbe katokea morogoro kuja darHapana, kwanza Baba J hakufariki akiwa uraiani alipelekwa mahabusu ambapo huko ndio umauti ulimkuta. Kwa hiyo baada ya Baba J kupelekwa Jera akaja muimbaji mwingine jina kidogo limenitoka ila kama unaujua wimbo wa Kondacta wa Chaukucha yule muimbaji ndio aliechukua nafasi ya Baba J.
Baada ya huyo jamaa kwenda Chaukucha ndio dogo Jack akachukuliwa kutoka Morogoro kuja Dar kujiunga na Jagwa Music.
Naskia kuna wanamuziki wa mnanda vibaka ambao walikuwa wanalala barabarani magari yakisimama wanayapora siku hiyo huko Kibada Kigamboni dereva alisimamishwa lakini hakusimama akawagonga wote wakafa,jamaa akawaimbia huo wimbo wa Ajali ya Kibada
Jolijo sifa nyingine kwa mwananyamala kisiwani ni mpishi maarufu wa pilau kwenye shughuli za kijamii1. Manjarino ni mdau mkubwa wa Jagwa
2.Jolijo ndio mkurugenzi wa Jagwa
3. Bonge Mzito ambae kwa sasa ni marehemu alikuwa shabiki mkubwa wa Jagwa ila alikuwa mwizi hatari miaka hiyo maeneo ya Mwananyamala, Tandale na Manzese
4. Baba Dullah nae ni mdau wa Jagwa.
Interview ya gari kubwa.Ningependa kuja ilipo bendi moja ya mchiriku ambayo ili-modernize muziki wa mchiriku (kwa kuweka vinanda na magitaa)mwanzoni mwa miaka ya 1990 ambayo iliitwa Hisani Musical Club ambyo ilitoa album yao moja iliyotamba sana miaka hiyo.
Nakumbuka kipindi hiko nikiwa mdogo nikipita Kariakoo ilikuwa vibanda vya wauza kaseti nyimbo zake zilipigwa sana mfano "uko wapi" Ally Mwinyi Hodari" "mola wangu nk. Mdau mwenye kujua taarifa zao na ikiwezekana kuwa na nyimbo zao azitupie hapa ili tukumbuke.
Famagusta temeke mikoroshini hii bila Shaka wap wanangu wa magorofani viwanja vya ABC taa nyekunduYaah ilikuwa hivyo.Halafu kuna ile Tulikuwa maskani maskanii famagusta .
Mwendelezo umenitoka kidogo hapo mtu akikumbuka ashushe mistari hiyo
Niko nausikiliza huu wimbo, washikaji wameimba kwa hisia sana...Wimbo wa ajali ya kibada nani aliimbiwa?
Ni kweli wasanii wa mnanda waligongwa na gari walikuwa waporaji?
Nilipewa story jamaa walikuwa waporaji,walikuwa wanaweka magogo/wanalala barabarani wanateka magari siku hiyo jamaa hakusimama akawagongaNiko nausikiliza huu wimbo, washikaji wameimba kwa hisia sana...
Hili group bado lipo?Mimi ninayo ila nashindwa kuapload humu, nitumie namba ya WhatsApp nitakutumia. Halafu kuna WhatsApp group la Mchiriku lipo ukitaka utaunganishwa, huko utapata kila unachotaka kuhusu Mchiriku.
Bob naweza pata namba yako ya simu?Mimi niko mbioni kufanya hivyo,kwani nina historia iliyoshiba ya mziki huu na nawajua watu wengi waliokua ni wadau wakubwa ambao wanaweza kunirekebisha nikoseapo.Halafu naupenda mziki huu.
Ndio bado lipo tena linazidi kushamiri ubora wake, ukitaka kuunganishwa tuma namba yako ya WhatsApp PM au hapa kama hutojali.Hili group bado lipo?
Kama hutojali kuna what group la Mchiriku humo kuna wakongwe na wadau wanaoujua historia za muziki huu na wasanii wa sasa pia wapo humo. Kwa vile unataka kuandaa Documentary nakushauri ujiunge huko uchukue baadhi ya "madini" ambayo yatakusaidia kwenye Documentary yako. Ukitaka kujiunga nitumie namba yako ya WhatsApp PM.Mimi niko mbioni kufanya hivyo,kwani nina historia iliyoshiba ya mziki huu na nawajua watu wengi waliokua ni wadau wakubwa ambao wanaweza kunirekebisha nikoseapo.Halafu naupenda mziki huu.