Mbava
Member
- May 18, 2011
- 30
- 1
Vp wana JF, Naombeni mnielimishe katika hili, nimekuwa nikienda dukani kutafuta simu flani eg Nokia 5800 music express nikaambia tuna simu ya mchina original! Nisaidieni hivi kweli kuna simu ya nokia ya mchina original? Nisaidieni kwa wanaofahamu nishaurini ninunue au la?