MAHENGE JR
JF-Expert Member
- Jun 1, 2014
- 497
- 630
Sheee
mwee
mwee
Sheee
mwee
Sheee
mwee
Hahahahahaa....
kumbe nipo jukwaa husika
Nilijua nipo jukwaa la habari na hoja mchanganyiko kumbe mods washafanya yaomkuu ulijua uko wapi?
wachina kwa mkono achana nao jamaa wapo fit mbaya. huku mtaani kuna mchina alikutana na jamaa kama 6 hivi waliokua na mijibwa mitano iliyoshiba na kupanda hewani kama wale wa polisi ilikua mida ya saa 7 usiku, wale jamaa si wakaanza kumzingua mchina ili wamkabe na kumpora lakini kufumba na kufumbua mchina yule aligeuka na kuwa JET LI na kuwagaragaza wale jamaa kama watoto wote chali chini, baada ya kuona mchina anawa jet li, ndipo wakawaamlisha wale mbwa wao wamvamie mchina sasa mchina ndipo akawa full bruce lee plus jack chan kwani wale mbwa waliambulia makarate, judo,mateke,na makungfu ya ajabu ndani ya dakika 6 mbwa wote walikua chali wameuwawa ulimi nje. mchina akaondoka zake mdogo mdogo huyoooo