Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
Huyo Mussa Mkubwa Abdallah ana umri gani? Manake kama ni kijana (chini ya miaka 60) nitamlaumu kwa nini hakupigana na huyo Mchina.
Mimi siwezi nikapigwa na mtu. Tutapigana. Hata kama ukinishinda lakini lazima nikutoe damu sehemu.
mbona ulikuwa unawaogopa wale majeba na masalo pale vidudu?