mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
chezea KUNG FU PANDA weweHuyo Mussa Mkubwa Abdallah ana umri gani? Manake kama ni kijana (chini ya miaka 60) nitamlaumu kwa nini hakupigana na huyo Mchina.
Mimi siwezi nikapigwa na mtu. Tutapigana. Hata kama ukinishinda lakini lazima nikutoe damu sehemu.