Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Mpemba halafu mdini (mwislamu) naona hujamalizia nakusaidia kama hujapendezewa si vibaya ukala kona kuliko kujitongozesha mimi nakuza lugha natunga mashairi kama unaweza vina tuingie kazini sio unaleta mambo ya hang over zako za amarula kwenye thread za watu ............
hivi kuna wanawake wanajitongozesha kwa wanaume waliolegea?? wa nini sasa?? just thinking loud....l.o.l