Mchele unapogeuka pumba................

hahaaha ........mlikuwa mnataka kujifanya wajanja eee, kumbe mwalimu mjanja kulio nyie.

Kibaraka wa mwalimu usim PM Klorokwini njoo utangaze hapa hapa.
 
hahaaha ........mlikuwa mnataka kujifanya wajanja eee, kumbe mwalimu mjanja kulio nyie.

Kibaraka wa mwalimu usim PM Klorokwini njoo utangaze hapa hapa.
hizi keyboard zinaficha mengi sana, si mara kibaraka alikuwa invizibo. dah! mwalim kuna jamaa mlikuwa mkikutana lazima mjadala unoge, anaitwa kiranga. amepotelea wapi?
 
hahaha sipati picha Invisible alipokuwa mdogo anachongea wenziwe :p

Kweli Kiranga tumemmiss hapa haonekani siku hizi. Sijui hata alipotokomea, au labda anaweka chaji mpya manake spidi zake kali.


hizi keyboard zinaficha mengi sana, si mara kibaraka alikuwa invizibo. dah! mwalim kuna jamaa mlikuwa mkikutana lazima mjadala unoge, anaitwa kiranga. amepotelea wapi?
 
hahaha sipati picha Invisible alipokuwa mdogo anachongea wenziwe :p

Kweli Kiranga tumemmiss hapa haonekani siku hizi. Sijui hata alipotokomea, au labda anaweka chaji mpya manake spidi zake kali.
hivi kuchongea kwa kizungu haifanani na ban? najaribu kuconnect dots
 
Ukitaka kufaidi iwe yeye na Nyani Ngabu wako kambi tofauti.....duh! Na hata NN nae sijamsoma long time, yupo wapi?

Usikute ndo huyo huyo mtu mmoja :p
 
Ukitaka kufaidi iwe yeye na Nyani Ngabu wako kambi tofauti.....duh! Na hata NN nae sijamsoma long time, yupo wapi?

Usikute ndo huyo huyo mtu mmoja :p
ha ha ha, balaa tupu walahi! kuna watu wanajigongea senks wenyewe humu kwa kutumia ID ya pili. pia kuna mashtaka yaliwahi kuletwa hapa kwamba kuna jamaa aliunda ID ya kiume na kike halaf akawa anajitongoza mwenyewe. khaaa! kizazi cha nyoka kipo mpaka hapa JF mwalim.
 
Bahari sitaivuka tatafuta wa tabora
Binti wakinyamwezi asie na harara
Awe mwenye huba asiwe na papara
Nikitoka kazini anikune upara........

Hapo nnakiri
Tabora ni wazuri
Wanyenyekevu kwa ari
hata bila ya hiyari
Angalia wakivinjari
pata shika ya hatari
Utaombea kaburi
Utumbukie kwa hiyari.

Hapo nnakiri Tabora ni wazuri
 
Hahaha ...jamaa kwa ID ya kike anaanzisha thread kuwa 'anajipenda' loolz kweli kizazi cha nyoka kimetinga JF! hahahhaha

Sijawahi kukutana na mtu mbishi kama Kiranga maishani, na yeye lazima awe opposite na dunia nzima ndo aone raha.

Hapo hujakutana na FEMS na kicheko chake cha Bwa! ha! ha!

kinaniudhi hicho kicheko....basi tu :)

ha ha ha, balaa tupu walahi! kuna watu wanajigongea senks wenyewe humu kwa kutumia ID ya pili. pia kuna mashtaka yaliwahi kuletwa hapa kwamba kuna jamaa aliunda ID ya kiume na kike halaf akawa anajitongoza mwenyewe. khaaa! kizazi cha nyoka kipo mpaka hapa JF mwalim.
 
Klorokwini

Kisha siku hizi ujue unaweza kupigwa Ban kwa kuanzisha mazungumzo binafsi kwenye thread ya watu. Shossi akitu report tu imekula kwetu.

Tusameh Shossi .......haturudii tena
 
Klorokwini

Kisha siku hizi ujue unaweza kupigwa Ban kwa kuanzisha mazungumzo binafsi kwenye thread ya watu. Shossi akitu report tu imekula kwetu.

Tusameh Shossi .......haturudii tena
dah! shossi twakuomba utusikie. hakyanani! mbunge wetu anatoka chadema! haturudii tena.

lakini ukiangalia kwa undani mwalim tumefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupoteza direction ya sred kutoka kwenye matusi (negative) hadi kuileta kwenye maongezi ya jamii (positive), unahitaji kuwa greti thinka kuona hii thinking yangu mimi na mwalim gaijin. nadhani tunadeserve kupongezwa na mods kwa kulifanikisha hili
 
Tulikuwa wahisani wenye mapenzi tele
Ukanipa mapenzi na mkate wa mchele
Leo nini kimesibu waniona uwele?
Au tofauti zetu dini wanipigia makelele
Kina unapokomenti unanichanja chale

Unipokea kwa wingi huba jamvini
Leo nini kimesibu unanitoa mavini
Ungekuwa mwanaume ningesema nimekuhini
Ni ngedhani ni mapenzi tumegombea vimini
Leo nakuuliza mbona nimekutoka moyoni
Jamvi naliona chungu nahisi ni motoni

Kila ninacho kinena hila wakitia
Awali sikubaini nkaona watania
Muda ukawadia nikaona yako nia
Kwenye hoja hunirukia tena kwa kunikamia
Hata iwe nadhamani hila yeye hulitia............

Shossi,

heshima juu kabisa mkuu. huwa nasoma tu hapa kwenye hili jukwaa mara nyingi kuliko kuchangia. Nimeisoma hii thread yako weeeee nikavumilia weeeee lakini sasa nikaona hapana ngoja angalau niseme lililo moyoni likikuudhi natanguliza kuomba radhi kaka.

wakati ule ulipoaga halafu ukarudi nilikuambia unadeka unataka ubembelezwe na wadada. Ukaniambia nilikuelewa vibaya na mimi nikaamini hivyo.

Ukweli sioni ni kwa nini utake mtu akujibu vizuri kwenye kila post yako hata kama huyo ni rafiki yako. Mimi nina watu wachache hapa marafiki zangu lakini wakinitolea macho naona ni sawa as long as they have a point, wananisaidia. The important thing siyo mtu akutukane bali akusaidie kufikiri. Binafsi namwelewa Michelle, amekuwa akinisaidia kufikiri kwa changamoto zake kwa watu wengine kwa sababu huwa hana kawaida ya kuchangia post zangu. watu wengine pia wamekuwa wakikiri hilo.

Lakini pia nimeshutushwa na pale unapohusisha tofauti za kidini katika fikra za mtu.

Shossi, you are a good man, you are civilized, please take it easy. Avoid taking other people's opinion personal, especially when they are of a different religious denomination.

Be happy brother!
 
nyie huyu MS atakuwa mpemba kalegeeeeeeeeeeeeeeeaaaaaa mnh kila saa anataka abembelezwe tu akikosa wa kumbembeleza atajiliza?! mnh man up unatia aibu!:A S 13::A S 13:

Mpemba halafu mdini (mwislamu) naona hujamalizia nakusaidia kama hujapendezewa si vibaya ukala kona kuliko kujitongozesha mimi nakuza lugha natunga mashairi kama unaweza vina tuingie kazini sio unaleta mambo ya hang over zako za amarula kwenye thread za watu ............

hivi kuna wanawake wanajitongozesha kwa wanaume waliolegea?? wa nini sasa?? just thinking loud....l.o.l

Mimi natoa mashairi wewe unatukana ikiwa nimelegea umeshawahi kunipa nikashindwa kwani usipo changia kwenye thread yangu utapungua?

Shossi,

heshima juu kabisa mkuu. huwa nasoma tu hapa kwenye hili jukwaa mara nyingi kuliko kuchangia. Nimeisoma hii thread yako weeeee nikavumilia weeeee lakini sasa nikaona hapana ngoja angalau niseme lililo moyoni likikuudhi natanguliza kuomba radhi kaka.

wakati ule ulipoaga halafu ukarudi nilikuambia unadeka unataka ubembelezwe na wadada. Ukaniambia nilikuelewa vibaya na mimi nikaamini hivyo.

Ukweli sioni ni kwa nini utake mtu akujibu vizuri kwenye kila post yako hata kama huyo ni rafiki yako. Mimi nina watu wachache hapa marafiki zangu lakini wakinitolea macho naona ni sawa as long as they have a point, wananisaidia. The important thing siyo mtu akutukane bali akusaidie kufikiri. Binafsi namwelewa Michelle, amekuwa akinisaidia kufikiri kwa changamoto zake kwa watu wengine kwa sababu huwa hana kawaida ya kuchangia post zangu. watu wengine pia wamekuwa wakikiri hilo.

Lakini pia nimeshutushwa na pale unapohusisha tofauti za kidini katika fikra za mtu.

Shossi, you are a good man, you are civilized, please take it easy. Avoid taking other people's opinion personal, especially when they are of a different religious denomination.

Be happy brother!


hakuna la ziada. message delivered as intended!

 
movie lishaisha haya yanatoka wapi tena,nadhani kuna watu walilizima kibusara zaidi:hand:
 
Mpemba halafu mdini (mwislamu) naona hujamalizia nakusaidia kama hujapendezewa si vibaya ukala kona kuliko kujitongozesha mimi nakuza lugha natunga mashairi kama unaweza vina tuingie kazini sio unaleta mambo ya hang over zako za amarula kwenye thread za watu ............

Hahahahaaaaaaaaa......Kudadadadaadeki.....kweli hapa kiswahili kimetulia sana.Kama anajitongozesha siinamaana kayakubali mashairi..hiyo kauli ya kusema Mpemba blabla ni kutaka mwanaume uendelee kukaza gidamu za viatu......hang over aliyonayo ni amarula kumbe...!!!Muache tu Binti jamaa mashairi yamemwingia.
 
Wala si mapenzi ya mume na mke
Nilimwita dada nikawa kaka yake
Tulitia fora kwa mikiki na makeke
Leo kasahau anipiga mateke.............
↲Kuachwa ni shugul pevu. Wewe unakonda yeye ananenepa!......................................................................................
 
Duh hii ilianza saa ngapi jaman sikuwepo? napenda kushuhudia vitu live, i hope mtayamaliza wapendwa, halafu wote nawapenda, mungu awabariki muweze kuondoa majazba baina yenu
 
Hahahahaaaaaaaaa......Kudadadadaadeki.....kweli hapa kiswahili kimetulia sana.Kama anajitongozesha siinamaana kayakubali mashairi..hiyo kauli ya kusema Mpemba blabla ni kutaka mwanaume uendelee kukaza gidamu za viatu......hang over aliyonayo ni amarula kumbe...!!!Muache tu Binti jamaa mashairi yamemwingia.

msheeeeexxxxxxxxxxxwwwwwwwwwwww...una yako wewe umetumwa sio bure,lione kwanza huna hata haya kujipendekeza kwa Shossi?
 
Back
Top Bottom