hizi keyboard zinaficha mengi sana, si mara kibaraka alikuwa invizibo. dah! mwalim kuna jamaa mlikuwa mkikutana lazima mjadala unoge, anaitwa kiranga. amepotelea wapi?hahaaha ........mlikuwa mnataka kujifanya wajanja eee, kumbe mwalimu mjanja kulio nyie.
Kibaraka wa mwalimu usim PM Klorokwini njoo utangaze hapa hapa.
hizi keyboard zinaficha mengi sana, si mara kibaraka alikuwa invizibo. dah! mwalim kuna jamaa mlikuwa mkikutana lazima mjadala unoge, anaitwa kiranga. amepotelea wapi?
hivi kuchongea kwa kizungu haifanani na ban? najaribu kuconnect dotshahaha sipati picha Invisible alipokuwa mdogo anachongea wenziwe
Kweli Kiranga tumemmiss hapa haonekani siku hizi. Sijui hata alipotokomea, au labda anaweka chaji mpya manake spidi zake kali.
ha ha ha, balaa tupu walahi! kuna watu wanajigongea senks wenyewe humu kwa kutumia ID ya pili. pia kuna mashtaka yaliwahi kuletwa hapa kwamba kuna jamaa aliunda ID ya kiume na kike halaf akawa anajitongoza mwenyewe. khaaa! kizazi cha nyoka kipo mpaka hapa JF mwalim.Ukitaka kufaidi iwe yeye na Nyani Ngabu wako kambi tofauti.....duh! Na hata NN nae sijamsoma long time, yupo wapi?
Usikute ndo huyo huyo mtu mmoja
Bahari sitaivuka tatafuta wa tabora
Binti wakinyamwezi asie na harara
Awe mwenye huba asiwe na papara
Nikitoka kazini anikune upara........
ha ha ha, balaa tupu walahi! kuna watu wanajigongea senks wenyewe humu kwa kutumia ID ya pili. pia kuna mashtaka yaliwahi kuletwa hapa kwamba kuna jamaa aliunda ID ya kiume na kike halaf akawa anajitongoza mwenyewe. khaaa! kizazi cha nyoka kipo mpaka hapa JF mwalim.
dah! shossi twakuomba utusikie. hakyanani! mbunge wetu anatoka chadema! haturudii tena.Klorokwini
Kisha siku hizi ujue unaweza kupigwa Ban kwa kuanzisha mazungumzo binafsi kwenye thread ya watu. Shossi akitu report tu imekula kwetu.
Tusameh Shossi .......haturudii tena
Tulikuwa wahisani wenye mapenzi tele
Ukanipa mapenzi na mkate wa mchele
Leo nini kimesibu waniona uwele?
Au tofauti zetu dini wanipigia makelele
Kina unapokomenti unanichanja chale
Unipokea kwa wingi huba jamvini
Leo nini kimesibu unanitoa mavini
Ungekuwa mwanaume ningesema nimekuhini
Ni ngedhani ni mapenzi tumegombea vimini
Leo nakuuliza mbona nimekutoka moyoni
Jamvi naliona chungu nahisi ni motoni
Kila ninacho kinena hila wakitia
Awali sikubaini nkaona watania
Muda ukawadia nikaona yako nia
Kwenye hoja hunirukia tena kwa kunikamia
Hata iwe nadhamani hila yeye hulitia............
nyie huyu MS atakuwa mpemba kalegeeeeeeeeeeeeeeeaaaaaa mnh kila saa anataka abembelezwe tu akikosa wa kumbembeleza atajiliza?! mnh man up unatia aibu!:A S 13::A S 13:
Mpemba halafu mdini (mwislamu) naona hujamalizia nakusaidia kama hujapendezewa si vibaya ukala kona kuliko kujitongozesha mimi nakuza lugha natunga mashairi kama unaweza vina tuingie kazini sio unaleta mambo ya hang over zako za amarula kwenye thread za watu ............
hivi kuna wanawake wanajitongozesha kwa wanaume waliolegea?? wa nini sasa?? just thinking loud....l.o.l
Mimi natoa mashairi wewe unatukana ikiwa nimelegea umeshawahi kunipa nikashindwa kwani usipo changia kwenye thread yangu utapungua?
Shossi,
heshima juu kabisa mkuu. huwa nasoma tu hapa kwenye hili jukwaa mara nyingi kuliko kuchangia. Nimeisoma hii thread yako weeeee nikavumilia weeeee lakini sasa nikaona hapana ngoja angalau niseme lililo moyoni likikuudhi natanguliza kuomba radhi kaka.
wakati ule ulipoaga halafu ukarudi nilikuambia unadeka unataka ubembelezwe na wadada. Ukaniambia nilikuelewa vibaya na mimi nikaamini hivyo.
Ukweli sioni ni kwa nini utake mtu akujibu vizuri kwenye kila post yako hata kama huyo ni rafiki yako. Mimi nina watu wachache hapa marafiki zangu lakini wakinitolea macho naona ni sawa as long as they have a point, wananisaidia. The important thing siyo mtu akutukane bali akusaidie kufikiri. Binafsi namwelewa Michelle, amekuwa akinisaidia kufikiri kwa changamoto zake kwa watu wengine kwa sababu huwa hana kawaida ya kuchangia post zangu. watu wengine pia wamekuwa wakikiri hilo.
Lakini pia nimeshutushwa na pale unapohusisha tofauti za kidini katika fikra za mtu.
Shossi, you are a good man, you are civilized, please take it easy. Avoid taking other people's opinion personal, especially when they are of a different religious denomination.
Be happy brother!
Mpemba halafu mdini (mwislamu) naona hujamalizia nakusaidia kama hujapendezewa si vibaya ukala kona kuliko kujitongozesha mimi nakuza lugha natunga mashairi kama unaweza vina tuingie kazini sio unaleta mambo ya hang over zako za amarula kwenye thread za watu ............
↲Kuachwa ni shugul pevu. Wewe unakonda yeye ananenepa!......................................................................................Wala si mapenzi ya mume na mke
Nilimwita dada nikawa kaka yake
Tulitia fora kwa mikiki na makeke
Leo kasahau anipiga mateke.............
Hahahahaaaaaaaaa......Kudadadadaadeki.....kweli hapa kiswahili kimetulia sana.Kama anajitongozesha siinamaana kayakubali mashairi..hiyo kauli ya kusema Mpemba blabla ni kutaka mwanaume uendelee kukaza gidamu za viatu......hang over aliyonayo ni amarula kumbe...!!!Muache tu Binti jamaa mashairi yamemwingia.
Pole MS. Hivi mshapendana humu humu Eeh?