Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Mchawi mmoja alikuwa akiwatesa raia wa kijiji kimoja huko sumbawanga.Walijaribu kila jinsi kumuua lakini ilishindikana kwani alikwepa mitego yote.>>>>> Siku moja raia walimvizia akiwa shambani analima.Wakiwa wamejificha kichakani walimshuhudia akijisaidia porini kisha akaondoka zake kurudi home.Wale jamaa walizoa kile kinyesi,wakavizia mida ya usiku wakapaka kinyesi mlangoni kwa yule mchawi na kingine wakakiacha kwenye ngazi.>>>>>>>>>>> Alipoamka asubuhi,yule mchawi akakumbana na kile kinyesi.Akashindwa kuvumilia ile dharau,akachukua sample ya kinyesi,akafanya dawa zake kisha akamwambia mkewe;huyu aliyekunya mlangoni kwangu hataliona jua likizama leo.Hazikupita hata dakika tano,yule mchawi alianguka na kufa pale pale.[True story from Sumbawanga].