Mzee wa fund
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 514
- 89
Akizungumzia kucheleweswa kwa majina ya watakao husika na sensa,Mwakilishi wa mkuu wa wilaya ya mbozi amesema wanachambua majina ya walimu walio goma ili waondolewe katika zoezi hilo.Nawasilisha.
Source:kikao cha madiwani wilaya ya mbozi.
Source:kikao cha madiwani wilaya ya mbozi.