Ngoja kwanza wazihakiki tukishajua idadi yake ndipo tutakapodai vizuri.Amani iwe nanyi, nawaomba chama cha mapinduzi kijitafakari na kurejesha Mali za wanyonge ilizotaifisha enzi za mfumo wa chama kimoja.
Mali hizo ni viwanja vya michezo na majengo. Naomba kuwasilisha ova.
Machozi yamenitoka baada ya kusoma hii comment! Kuna watu tumewapoteza hapa ambao kutokuwepo kwao mnaweza kuwa mashahidi kumetupunguza nguvu.Hatuna muda mwingine wa kuamua haya! Muda ni sasa, hatuja chelewa kama tunavyofikiri, tukizidi kupiga danadana ndio tunazidi kujichelewa! Wazo limekuja muda muafaka tuongeze shinikizo kwenye hadidu za rejea ili muswada mpya mambo hayo yaingizwe. Hatuwezi kuendelea kuvumilia zulma kutoka kwa ma ccm na kupenda kwao kuvimbiza matumbo kwa kunyang'anya na kujimilikisha hata visivyo vyao kama chama. Babu yangu na bibi yangu walishiriki kujenga kama umma wa kitanzania na si kama wanachama wa ccm kwa nini ziwe za chama?
Haya mawazo bado ni relevant, utekelezwaji wake ni sawa na dunia inavyotusubiri kwenye uchaguzi wa majimbo ya Siha na Kinondoni kujua kama kuna binadamu wenye IQ chini ya 1/100 hapa duniani!Kutaifishwa ndio mpango mzima..........hata kama vilikuwa ni vya Tanu then CCM ambayo kilikuwa chama pekee hivyo hakukuwa na tofauti kati ya serikali na chama hivyo basi ni muda muafaka kuvirudisha kwa umma........:rip:CCM hahahahahah twataka urithi wetu kwani tushaona nyie mwafa sasa msije mkatupa tabu katika mirathi........:yield: