fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Hii siyo issue ya chama, ni suala la sisi wenye nchi kuangalia namna gani kodi zetu zinatumika. Hatuwezi kuwalipia watu kama hawa wanaoenda majukwaani kutukana na kutetea uongozi mbovu. Ifike mahali tuangalie ukweli. Rais mstaafu angefaa kuwa mshauri na siyo chanzo cha kibri na kebehi ambazo hazina mpango, hasa kwa wananchi wanaohoji mambo halali. Tuache utani katika hili!!
Mwizi hastaafu, hivyo ndo changamoto ya sasa kwa TZ, kila mara anahisi ataumbuka iwapo timu yake itamomonyoka, inabidi ajaribu kila awezalo. huku kujaribu lolote na chochote ndo matokeo yake wanaongea pumba za kufa mtu, ni kujaribu kulinda maslahi yao ndo kunawaponza. Mwizi hastaafu!!!!