Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
Siku moja jamaa mmoja Mchagga alidondokea kwenye Kisima Cha maji Akapiga kelele kuomba msaada huku akitapatapa.
Mkewe akaja na kamba mpya, jamaa akauliza umenunua shs Ngapi. mkewe akamjibu Buku. Jamaa akamwambie irudishe nenda kwa masawe anauza Jero fanya fasta nitakufa.
Mkewe akaja na kamba mpya, jamaa akauliza umenunua shs Ngapi. mkewe akamjibu Buku. Jamaa akamwambie irudishe nenda kwa masawe anauza Jero fanya fasta nitakufa.