Kwitughutila
Member
- Oct 30, 2011
- 52
- 11
ana miradi gani mkuu na wasoma magazeti wake wanaokohoa kila siku?
Ana miradi kadhaa ikiwamo Agape Associates inayodeal na Madini. Na nyinginezo nyingi tu.
ana miradi gani mkuu na wasoma magazeti wake wanaokohoa kila siku?
AMA kwa hakika mtu mzima akivuliwa nguo kadamsini huchutama na kujaribu kuplay-down aibu yake. Ndio kinachotokea hapa, hata hivo nafurahi umejifunza kutokudandia treni kwa mbele.
Ni yule mhindi ama......................
Hujui kuwa hujui, umechomekea links ambazo hazijibu hoja yoyote, nikatulia nikadhani utaelewa, kumbe ndio walewale..Kwakwakwaakwaaaaaakwa, ulijidai "tumevumbuwa" kompyuta, nikakupa links, nna uhakika umepitia huko na umekushuka. Sasa unajitia pambani. Sikisii.
WorthmuchWorthless.
haitawalipa !Kulitumia jina la Yesu kufanya biashara lazima uhumbuke...tunasema kutenganisha siasa na biashara,nadhani ni wakati wa kutenganisha dini na biashara sasa............
Pisof cra.pWorthmuch
Nchi yetu imekubwa na janga la kitaifa nalo ni kuibuka kwa waganga wa kienyeji kupitia mgongo wa dini ambao kazi yao kubwa ni kukusanya sadaka kutoka kwa wananchi maskini wa Tanzania kwa kisingizio kuwa wanatoa uponyaji.Hawa waganga ni kama mzee wa upako,ferdinandes,mwingira na baba yao kakobe.Inashangaza kuona serikali iko kimya kuhusu hawa waporaji wa wananchi kwa mgongo wa dini.
Great thinker huwa anafanya utafiti na kumwaga takwimu kipi kinakufanya uwaite watumishi wa Mungu waganga wa kienyeji. Waganga wa kienyeji ni watumishi wa shetani tu, na kwa shetani huwa hakuna uponyaji hata siku moja ni ulaghai na kuwafanya watu mateka wake ili wamwasi Mungu ili awapeleke motoni ambako atakuwako yeye milele yote. Lakini watumishi uliowataja wanalitaja jina la Yesu ndipo watu wanapona sasa unawaitaje waganga wa kienyeji wakati anayeponya ni Yesu? Angalia usije ukawa anafanya kazi ya shetani mwenyewe. Kwa taarifa yako katika maombezi hayo unayoyakashifu kuna watu wamepona UKIMWI ambao sasa ni kiboko ya sayansi na mpaka sasa wameishi makumi ya miaka wakiwa negative na hili sio la mtu kupanda madhabahuni na kushuhudia halafu watu wanapiga makofi, imethibitishwa na hospitali kubwa hapa nchini.
Kumbuka pia katika makanisa haya linahubiriwa neno la Mungu lililo hai watu wanafanywa maaskari imara wa kupambana na kusambaratisha kazi za shetani, fanya uchunguzi uone kinachoendelea makanisani na sio kutoa tuhuma za uongo kama vile wewe ni msaidizi mkuu wa shetani
Hizi ni taarifa za ndani za kibenki wewe umezitoa wapi au unamchukia huyu mchungaji mbona wakati anakopa kama ni kweli hukutuarifu
Pisof beef !Pisof cra.p
kumbe kama mtumishi wa mungu hana tofauti na wewe na mimi uspecial wake nini? Nakama anahangaika kama watu wengine kisa cha kumtetemekea na kumkabidhi fedha kila uchao nini? Hapo ndo wafuasi walitakiwa kuelewa kuwa duniani humu mungu anasikiliza na kutenda sawa kwa wote so hakuna anayetakiwa kudai uagent.
Bold ya kwanza: Mungu hafanyi kazi kama siye wanadamu dhaifu.
Kila kitu ni mali yake - hahitaji miradi yoyote.
Kumbuka tulishalaaniwa tutakula kwa jasho na haijalishi
wewe ni mtumishi wa Mungu.Watumishi nao ni watu kama
wewe na mimi, wana mapungufu yao kama binadamu.
Bold ya pili - you are absolutely right! Kila wakifanyacho watumishi
siyo lazima ni mapenzi ya Mungu.Vingine ni matakwa na utashi wao tu.Ikiwa
Fernandes alichukua mkopo na sasa unampelekesha puta, hadi kufanya mambo kama hayo,tumhurumie tu ni binadamu kama wengine.Atapambana na mfumo kama wengine.
Fernandes ni wheeler-dealer, big time! Hilo kanisa analoendesha has very little to do with god, if any! Ni biashara yake na mkewe, sasa mambo yanaanza kuwa mazito tunaona anakuja na strategy ya kumshambulia Mwl Nyerere ili kupoteza mada. Mkopo uko pale pale rudisha hela za watanzania wanyonge!
Chezea hindi type weye.? Wanaitafuta noti kwa njia zote
Nuruni na gizani ....
Acha Kukashfu Watumishi Wa Mungu Wewe,utapata Laana Bure.
mch veno fernandes wa agapr tv alikopa tshs 5bils kutoka tanzania investment bank na sasa ameandaa nyaraka za uongo kuonyesh kwamba ameingia hasara katika miradi yake na hivyo kutaka benk imufikirie kuhusu kurejesha fedha hiyo.
Kutokana na nyaraka alizowasilisilisha inaonyesha kuwa amepata hasara kubwa sana kwenye miradi yake!!!!!!!!!