inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 18,039
- 18,384
kichuya munampa sifa asizostahiki,na mechi zenu mnazopata penati za makusudi toka kwa mabeki,wakienda kuchezea stars wanarukarukaItakuwa hufuatilii mpira wa Bongo ww
kichuya munampa sifa asizostahiki,na mechi zenu mnazopata penati za makusudi toka kwa mabeki,wakienda kuchezea stars wanarukarukaItakuwa hufuatilii mpira wa Bongo ww
Haya basi.. Chirwa fundi sana.. Jamaa anajua sana, na kwa kasi aliyonayo.. Msimu ujao atasajiliwa Arsenalkichuya munampa sifa asizostahiki,na mechi zenu mnazopata penati za makusudi toka kwa mabeki,wakienda kuchezea stars wanarukaruka
Ata messi anaonea wenzake akiwa BARCELONA lakin akikanyaga ARGENTINA anakuwa kama 'bwabwa' SO ACHA WATU WAMSIFIE KICHUYA.kichuya munampa sifa asizostahiki,na mechi zenu mnazopata penati za makusudi toka kwa mabeki,wakienda kuchezea stars wanarukaruka
Na akina Mahrez pia wenzawazimu hivyo tu Assume Samatta atakuwa mchezaji bora wa Afrika anayecheza nje.baily mwendawazimu yule
Dogi hajawahi hata kuiletea ndoo timu yake... Washaanza kumkuza....!huyo kichuya mnavomkuza,kisa kamfunga yanga..acheni ujinga,ajibu mchezaj,ila umri umeenda,mvivu na anaonekana mtu wa kilevi