Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,399
Shirikisho la Soka barani Africa (CAF) kimetoa orodha ya majina ya wachezaji ambao watawania Tuzo ya Mchezaji Bora 2016 na Tuzo ya Mchezaji Bora 2016 kwa wanaocheza ndani ya bara la Afrika.
Moja ya majina ambayo yametajwa kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora 2016 ni pamoja na mtanzania Mbwana Samatta anayekipiga Genk ya Ubelgiji, akiwa katika orodha ya wachezaji 30 akiwemo Riyad Mahrez, Pierre-Emerick Aubameyang na Kelechi Iheanacho.
Kwa Afrika Mashariki wachezaji ambao wamepata nafasi ya kuwania tuzo hiyo ni Mbwana Samata – Tanzania, Victor Wanyama – Kenya na Dennis Onyango – Uganda.
Orodha ya wachezaji wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora Afrika 2016
Tuzo ya Mchezaji Bora Afrika 2016 kwa wachezaji wanaocheza ndani ya bara la Afrika.
Moja ya majina ambayo yametajwa kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora 2016 ni pamoja na mtanzania Mbwana Samatta anayekipiga Genk ya Ubelgiji, akiwa katika orodha ya wachezaji 30 akiwemo Riyad Mahrez, Pierre-Emerick Aubameyang na Kelechi Iheanacho.
Kwa Afrika Mashariki wachezaji ambao wamepata nafasi ya kuwania tuzo hiyo ni Mbwana Samata – Tanzania, Victor Wanyama – Kenya na Dennis Onyango – Uganda.
Orodha ya wachezaji wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora Afrika 2016
Tuzo ya Mchezaji Bora Afrika 2016 kwa wachezaji wanaocheza ndani ya bara la Afrika.