Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,480
- 3,351
Kufikiri nje ya boxNaona Chanzo Cha Matatizo(CCM) mmeanza kutengeneza movie ili kufunika ripoti ya CAG ya zile billion 6 zilizokusanywa na Halmashauri ambazo mpaka sasa hazijulikani zilipo.
Kufikiri nje ya boxNaona Chanzo Cha Matatizo(CCM) mmeanza kutengeneza movie ili kufunika ripoti ya CAG ya zile billion 6 zilizokusanywa na Halmashauri ambazo mpaka sasa hazijulikani zilipo.
😀😀😀 una kumbukumbu sana mkuu, kwanza askar ni wa CCM alafu mwisho risasi 3 huna maisha. Nchi hii...
And this is the reason huwezi elewaKwa sababu wewe una ufunuo toka mbinguni?
Kwa mola tutakua bize na mabikira 70Ni vizuri wakatambua ipo siku tutakumbushana tu hata kama ni kwa Mola.
Ndiyo ulipoishia kufikiri?Nani wa kukusaidia?And this is the reason huwezi elewa
Akili yako ni changa
NakaziaVipi amepigwa sehemu ipi ya mwili? Amepelekwa katika hospitali ipi? Hali yake kwa sasa vipi?
Pole kwake na kwa ndugu, jamaa na marafiki zake
Kwa mola tutakua bize na mabikira 70
Lazima yeye na dereva wake wahojiwe kuhusu shambulizi hilo ili tuone kama kuna nia ya uhalifu.Inasemekana kuwa mbunge wa Simanjiro Mh. Christopher Ole Sendeka amepigwa risasi na watu wasiojulikana akiwa Simanjiro.
Amekimbizwa hospitali katika juhudi za kupambania maisha yake.
Taarifa zaidi zitakujia baadae.
Hakuna alie salama..!!
---
Mbunge wa jimbo la Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amenusurika kuuawa baada ya watu wasiojulikana kuliahambulia gari lake kwa risasi mapema leo jioni hii.
Baadhi ya mashuhuda waliokuwepo katika eneo hilo wameeleza kwamba walisikia milio ya risasi ikishambulia gari hilo kabla ya washambuliaji kutokomea kusikojulikana.
Taarifa za uhakika kutoka Simanjiro zinaeleza kwamba mbunge huyo pamoja na dereva wake wote wamenusurika baada ya gari lao kushambuliwa kwa risasi wakati wakiwa jimboni humo.
Soma pia > CCM imuadhibu Ole Sendeka kwa kuvamia mashamba na kuharibu amani
Kwani mbinguni Allah atakua anapangia watu kazi?Wengine tutakuwa busy kuwawajibisha mlilokosa chembe ya utu duniani.
Tusipangiane!
WeweNdiyo ulipoishia kufikiri?Nani wa kukusaidia?
Hakuma kitu hapo. Sendeka msanii sana. Polisi wachunguze vizuri hilo tukio.Inasemekana kuwa mbunge wa Simanjiro Mh. Christopher Ole Sendeka amepigwa risasi na watu wasiojulikana akiwa Simanjiro.
Amekimbizwa hospitali katika juhudi za kupambania maisha yake.
Taarifa zaidi zitakujia baadae.
Hakuna alie salama..!!
---
Mbunge wa jimbo la Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amenusurika kuuawa baada ya watu wasiojulikana kuliahambulia gari lake kwa risasi mapema leo jioni hii.
Baadhi ya mashuhuda waliokuwepo katika eneo hilo wameeleza kwamba walisikia milio ya risasi ikishambulia gari hilo kabla ya washambuliaji kutokomea kusikojulikana.
Taarifa za uhakika kutoka Simanjiro zinaeleza kwamba mbunge huyo pamoja na dereva wake wote wamenusurika baada ya gari lao kushambuliwa kwa risasi wakati wakiwa jimboni humo.
Soma pia > CCM imuadhibu Ole Sendeka kwa kuvamia mashamba na kuharibu amani
Chizi huyo katengeneza tukio kijinga sana.Alikuwa katika mazingira gani?
Kwani mbinguni Allah atakua anapangia watu kazi?
Ya dunia tutayaacha huku na watesi wote watakua kule kujibu dhambi zao
ILA wewe mtakatifu utakua na mabikira sabini