TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 25,233
- 11,675
Akili ndogo, let me tell you something1. Za mabikira hizo Imani zenu.
2. Ya kuwa ya duniani yatakuwa yamebaki duniani pia Imani zenu.
3. Ila wengine Imani zetu ni kuwa kila baya kwa Mola litalipwa.
4. Hapo #3 ndiyo maana miadi yetu nanyi msiojulikana, tusipomalizana hapa hadi kwa Mola tutakomaa nanyi.
1. I don’t support ole sendika shooting
2. I have no interest whatsoever
3. Kuna serious gap ya knowledge ya chanzo cha tukio…. Siasa za kule ngumu sana na ole ana drama sana
KWa tuliosoma naye sekonderi tunafahamu