WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,918
- 1,233
Msaada aliotoa ni kwa waathirika kutokana na nyumba zao kuezuliwa na upepo mkali , ni mazingira yanayoeleweka badala ya kushinikiza kwamba anaendekeza watu, ni sawa na kusaidia walioathiriwa na mafuriko pale dar. Mbunge huyu asingeonyesha kujali wananchi wake kama alivyofanya ninyi mnaopinga huduma yake mngekuja na shutuma kwamba hawajali wapiga kura wake, huu ni mwono wa aina gani?
Turudi nyuma kidogo tuseme nyumba nyingi zimeharibiwa na upepo au whatever, huyo mbunge anaweza kuwasaidia watu kwa style hiyo? Au niweke swali hivi, hivi tutaendelea hivi hadi lini bila kuwa na coordination nzuri ya kukabiliana na majanga? N
yumba kuharibiwa kwa upepo au mvua siyo mara ya kwanza, je serikali, wananchi pamoja na wote wanaojiita viongozi wanakabiliana na hizo hali vyakutosha au ndo kupeana misaada kwa kutumia pesa ya mfuko wa jimbo harafu mbuge anajisifu katoa pesa zake kusaidia?