Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Mbunge wa Morogoro mjini Aboud amewakabithi mabati 30 na mbao 50 akina mama wawili wa Kihonda ambao uwezo wao ni mdogo kusaidia kuezeka nyumba zao zilizoathiliwa na mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali na kusababisha nyumba nyingi kuezuliwa zikiwemo hizo mbili za akina mama.
Ni dalili serikali haiwasaidii wanainchi ipasavyo, sasa wananchi kimbilio lao ni wabunge wao. Mambo kama haya yanasababisha wabunge kuzidi kuomba nyongeza ya posho za vikao ingawa wengi hawazitumii pesa hizo kwa manufaa ya wapiga kura wao bali kwa matumizi binafsi.