Mbunge wa CHADEMA bi Susan Lyimo atuwakilisha vyema mkutano wa kimataifa......

Afadhali mama umetuwakilisha kwa vazi la kitaifa kulikono huyo sembwe JK ambaye anakubali kuuza nchi yake kwa SUTI.
 
Mi sijaona wawekaji au wawawekezaji tangu wameanza kuingia hapa kwe2 sijaona tunzania ye2 inafaidika zaidi ya wao.Kwahiyo wanawekeza au wana2wekeza.Ni nashauri wawekeze baada 2015 baada ya cut baa.
 
Wanigeria wanavaa maguo yao lakini kazi wanafanya sio kuonyesha fashion show. Ndio maana watu wengine wanawadharau nyie kazi yenu kutwa maandamano tu na akili za zidumu fikra za mwenyekiti Mbowe. Tueleze Susan Lyimo ameisaidia nini Tanzania katika mkutano huo sio kukaa mkisifiana magwanda ujinga huo ushapitwa na wakati.

Tatizo lako unaangalia kila jambo kwa miwani ya udini. Hata pale unapotaja jambo jema toka chadema lazima ulinasibishe na zito as if yeye tu ndiye mtu.

Porojo za mohamed said ndio zimekumaliza kabisa.

Kama serikali yenu inatumia mabilioni ya shilingi kutangaza utalii nje ya nchi, ni jambo la kujivunia kwa suzan lyimo kuwasaidia kutangaza utalii free of charge!
 
Wanigeria wanavaa maguo yao lakini kazi wanafanya sio kuonyesha fashion show. Ndio maana watu wengine wanawadharau nyie kazi yenu kutwa maandamano tu na akili za zidumu fikra za mwenyekiti Mbowe. Tueleze Susan Lyimo ameisaidia nini Tanzania katika mkutano huo sio kukaa mkisifiana magwanda ujinga huo ushapitwa na wakati.

najua sababu kuu inayo kufanya kuchukia magwanda ni ujulikane hapa jamvi aya tushakujua kaa kimya..mwenzio mwita alikuja na jia hyohyo adhma yake ilvo timia ashaufyata kitambo na wewe huna bundi kufyata.
 
Masaburi mwengine huyu,

Wewe unadhani kwenda kuonyesha fashion show ndio sifa? Mwangalieni Zitto akienda mambo anayoyafanya kajifunzeni kwake mjue. Dunia ya sasa si ya kutalii ni kukimbia muda wa kushangaa umeisha. Bora mie nitakayeleta mwekezaji kwani atatoa kazi, umeme utapatikana, maisha yataboreka kodi itaongezeka kuliko mtalii wenu anaenda kushangaa majengo, kodi inatumika bure, akija hapa kutwa maandamano na kelele nyingi hakuna kitu serikali inaingiza wajinga Tanzania wapo wengi loh!!!

Hiyo sasa ni ombaomba, yaani huyo mwekazaji anakuona wewe kama vile watanzania tunavyomwona matonya. Mifano tayari ipo ya watanzania kunyanyaswa na kudhalalishwa na wawekezaji na dada zetu pia wanajikuta kwenye mazingira ya kutoa ngono kiushenzi shenzi. tunawalaumu kwa unyanyasaji lakini cha msingi hapa ni kwamba wanashikwa na miasira kuona mijitu ipo ipo tu imekaa kilofalofa na kibwegebwege tu eti inasubiri mwekezaji hata kwa mambo ambayo yapo ndani ya uwezo wao. Hivi hapa duniani kama watu wa nchi zote wangesubiri wawekezaji haya maendeleo ya dunia yangetoka wapi? Mwekezaji haji kukusaidia wewe anakuja ku make profit na kuimarisha biashara zake ndiyo maana wanapokuja kabla ya yote kwanza wanawafisadi viongozi wako wa ccm ili wapate mikataba ya kujichotea kwa muda mfupi na wakishafanikisha wanauza au kubadili kampuni. Kuhusu ajira nchi zilizoendelea au zinazoendelea mwajiri wa uhakika ni serkali siyo private sector hata huduma za afya, elimu, social security nk za serkalini ni bora kuliko private sector. Huyo mzungu anakuja anakudanganya eti private sector ndo inayotoa ajira zaidi wakati anajua kabisa nchini kwake mwajiri wa uhakika ni serkali. Bongo lala oyeee!
Historia ya miaka 50 ya kujitawala imeonyesha kuwa maendeleo ya nchi hii hayataletwa na wageni. Wahindi walirithi uchumi wa nchi hii kutoka kwa mkoloni kwa kuchukua biashara kubwa kubwa na wote tunajua wahindi wako kimwili tanzania lakini mioyo yao iko kwingine, hawana mpango na maendeleo ya mmatumbi, sasa mnaongezea waarabu na wazungu, dhahabu zako zitaijenga Johannesburg, Toronto, Newdelhi, London na siyo makambako, sirari, wala mtukula.
 
Mi sijaona wawekaji au wawawekezaji tangu wameanza kuingia hapa kwe2 sijaona tunzania ye2 inafaidika zaidi ya wao.Kwahiyo wanawekeza au wana2wekeza.Ni nashauri wawekeze baada 2015 baada ya cut baa.

Tangu Mkapa afungue pazia la kuruhusu wawekezaji nchini, nilichoshuhudia ni kwenda sambamba na kuzidi kupungua megawati za electric power, hata zile tulizokuwa nazo awali nazo zimepungua, najiuliza maswali yanye majibu tata juu ya dhana ya uwekezaji toka nchi za nje kama una manufaa kwetu au la.
 
attachment.php


Dada kanikuna walai sitani kamwe. Watanzania tumekumbwa na kasumba ya kuiga mavazi ya utamaduni wa mataifa mengine kuanzia awamu ya kwanza. Nyerere kwanza alikuwa anavaa suti na tai, na alipogeukia kwenye mlengo wa itikadi za ujamaa akageukia upande wa mvao wa Kichina - uliozoeleka kama Chu En Laimoja ya majina makubwa ya viongozi wa nchi ya China.

Wengi kutokana na kuonea aibu utamaduni na mvao wa kiafrika tunahangaika kuingia gharama kubwa serikali kutenga pesa za kununulia Suti za watumishi wanapoenda nje ya nchi kikazi. Hii hadaa ni kujifedhehesha uonekane mtu mwenye nafasi na pesa wakati unaenda kuomba misaada na anayetoa misaada havai nguo ghali namna hiyo.

Utamaduni wetu ni hazina ambayo mataifa ya magharibi wengi huwa wanafurahia kuona, na kama mtu anajivunia utamaduni wake anaheshimika kwa msimamo. Watu tumeulizwa sana mambo ya utamaduni na kama unapoonyesha utamaduni wako katika mambo kadhaa kama mavazi ambayo yanatangaza kwa uwazi zaidi, vyakula nk. Mataifa ya magharibi yanajali sana utamaduni wa mtu na ndiyo utaona hata super markets ambazo kuna wahamiaji wengi wa kutoka utamaduni fulani zinatengewa department au isle kwa vyakula vyao ili wajisikie na kufurahia utamaduni wao.

Nampongeza sasa dada huyu kwa uzalendo ua roho ya ushupavu alioonyesha, big up.
 
Kwenu wazalendo...........................

There was a man who had seven sons who were always quarreling among themselves. One day he called them together and informed them that he wished to demonstrate just what their lack of co-operative effort meant. He had prepared a bundle of seven sticks which he had carefully tied together. One by one he asked his sons to take the bundle and break it. Each son tried, but in vain. Then he cut the strings and handed one of the sticks to each of his sons and asked him to break it over his knee. After the sticks had all been broken, with ease, he said:
"When you boys work together in a spirit of harmony you resemble the bundle of sticks, and no one can defeat you; but when you quarrel among yourselves anyone can defeat you one at a time."
There is a worth-while lesson in this story of the man and his seven quarrelsome sons, and it may be applied to the people of a community, the employees and employers in a given place of employment, or to the state and nation in which we live.
 
Ukitazama picha kuna wajumbe nyuma wanajadiri kitu lakini rep of tanzania yupo mama lyimo peke yake wanamagamba (watalii) walio ongozana naye naona bado wanajiremba mahotelini kama kawa.
 
Ndio hapo basi yaani wewe kwenda kutufanyia fashion show sehemu ya watu wako serious na shughuli za maendeleo wewe ndio unaona ametuwakilisha vema kweli vigezo vyetu vya maana ya neno vema tunatofautiana. Ningelisikia Susan Lyimo amefanikiwa kupata mkopo wa Billioni kadhaa kuja kujenga kinu cha kufua umeme wa nyuklia Bongo. Au kapata wawekezaji kuja kuwekeza katika Uranium yetu ningelikubali ametuwakilisha vema. Mwe kuna watu wanafikiria kwa masaburi Tanzania hii hadi aibu.

Bilioni mnazohongana kwani hazifai kujenga kinu cha kufua umeme ???????????
 
Tangu Mkapa afungue pazia la kuruhusu wawekezaji nchini, nilichoshuhudia ni kwenda sambamba na kuzidi kupungua megawati za electric power, hata zile tulizokuwa nazo awali nazo zimepungua, najiuliza maswali yanye majibu tata juu ya dhana ya uwekezaji toka nchi za nje kama una manufaa kwetu au la.


Kwanza nina declare interest kwamba mimi ni bepari to the bone. Ni mwajiriwa wa kawaida kabisa, nisiyokuwa na kampuni wala nini, lakini naikubali sera ya ubepari asilimia 110.

Huwa nasikitika sana napoona watu wanapinga wawekezaji kila mara. Na mara nyingi utamkuta anayepinga ni mtu mwenye kazi yake kubwa ya kimangi meza, anapelekwa ofisini na shangingi na kurudishwa kwenye hekalu lake la serikali jioni.

Nyinyi mnaowapinga wawekezaji mnashindwa kufikiri kuwa wadogo zenu wanaomaliza shule leo, au wale walioajiriwa kwenye makampuni yanayo-supply hawa wawekezaji, wataenda wapi ikiwa wawekezaji watatoweka. Ni nani atayejenga miradi inayohitajiuwekezaji wa Dollar Billion 2 kabla hata ya kuzalisha cent tano? nani atayeleta utaalam wa kufanya biashara ambazo hatuna uzoefu nazo?
 
Anafanya utalii zaidi kuliko kazi.

kutangaza nchi kimavazi ni kazi pia ya kiongozi wa nchi yenye kutegemea utalii kwa kiasi fulani, labda ulimaanisha maudhui ya mkutano yaani Nyuklia na mavazi ya asili kama hili ambalo siyo vazi la kitaifa kidogo inakua inaleta maswali, Taifa la Tz halina vazi la kitaifa na hili la kimasai linaonekana lakitalii zaidi. poa lakini siyo mbaya
 
Tatizo lako unaangalia kila jambo kwa miwani ya udini. Hata pale unapotaja jambo jema toka chadema lazima ulinasibishe na zito as if yeye tu ndiye mtu.

Porojo za mohamed said ndio zimekumaliza kabisa.

Kama serikali yenu inatumia mabilioni ya shilingi kutangaza utalii nje ya nchi, ni jambo la kujivunia kwa suzan lyimo kuwasaidia kutangaza utalii free of charge!
Runataka kuwaona hao magamba wako wapi!? wanawakilisha hotelini kusainisha mikataba ya wizi!!
 
Masaburi mwengine huyu,

Wewe unadhani kwenda kuonyesha fashion show ndio sifa? Mwangalieni Zitto akienda mambo anayoyafanya
kajifunzeni kwake mjue. Dunia ya sasa si ya kutalii ni kukimbia muda wa kushangaa umeisha. Bora mie nitakayeleta mwekezaji kwani atatoa kazi, umeme utapatikana, maisha yataboreka kodi itaongezeka kuliko mtalii wenu anaenda kushangaa majengo, kodi inatumika bure, akija hapa kutwa maandamano na kelele nyingi hakuna kitu serikali inaingiza wajinga Tanzania wapo wengi loh!!!
Usemayo mkuu ni kweli, tunataka uwakilishi kwenye mikutano kama huu hapa
Mkulu kauchapa.jpg
 
Back
Top Bottom