Kaa kimya wewe hujui mauzauza ya mahakamani, mahakimu wengi ni wala rushwa hawaachi hata sh 50,000/- wanatamaa sana
Hivi takukuru kuna kesi wameshinda kweli???
Tangu rushwa itamalaki, selekali haijawahi kushinda hata kesi moja.Taarifa nilizozipata kutoka chanzo cha kuaminika Mbunge wa Bahi ameshinda kesi ya rushwa iliyokuwa inamkabili.
Judiciary system ya Tanzania inazidi kujidhalilisha. Kama huwezi kumfunga Baduel kwa kesi ya wazi inayohusu rushwa kama ile sijui ni nani sasa anastahili kwenda gerezani. Idara ya mahakama haina maadili, RIP judiciary system in Tanzania. Rushwa ni adui wa haki
Labda za akina balozi prof Mahalu, yule mhindi, na za aina hiyo.
Orodha ya PCCB yenye majina zaidi ya 200 waliotiwa hatiani ni VEO na WEO tu. Nchi hii wakubwa hawasumbuliwi. Hata kama angeshikwa na fedha mkononi huko Mahakamani tungewambiwa hizo si noti, bali ni majani ya mkungu!!!
Mi nawashangaa wanao shangaa kwa kisicho shangazaNami ningeshangaa kama angefungwa!
Unasemaje kuhusu Liumba,vipi kuhusu yule mkurugenzi mkuu wa TBS..Tunatakiwa tuwaunge mkono Pccb,vita ya rushwa ni ngumu sana tuache kulaumu,Kuthibitisha mashtaka ya rushwa ni vigumu kuliko hata kuthibitisha kesi ya ugoni.PCCB haiko kwa ajiri ya vigogo,na ndio maana huwa hakuna kigogo ambaye chombo hiki kina weza kumuadabisha!
Zipo kesi ambapo TAKOKURU walishinda, kuna list ya maafisa watendaji kata waliowafunga kwa rushwa wameweka majina kwenye website yaoHivi takukuru kuna kesi wameshinda kweli???