Senior Member
- Jun 25, 2011
- 198
- 35
kwa chadema ananaonekana shujaa...lakinini kwa waelewa anaonekana mbumbumbu. Usitumie nguvu yako kubwa kuhangaika nao ritz, waache wafu wazike wafu waoWapenda Amani wa Arusha na CDM wasiokuwa na mrengo mkali jitihada zao za kumsihi lema kukubali dhamana hazikufanikiwa..
Sasa mtu kama huyu utamuita kweli shujaa?