Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema apelekwa mahabusu

Nadhani akitoka jela atajifunza kuheshimu sheria. Itaweza kutenganisha sheria na siasa.
Mtu yeyote atakayejifunza kutenganisha sheria na siasa katika mazingira yasiyokuwa ya kidemokrasia na utawala wa kweli wa sheria ni punguani! Hata anayedhani inawezekana ni au haelewi anachoongea au amepumbazwa na anavyovifaidi kwa kukosekana kwa taratibu nzuri za demokrasia ya kweli na kutokuwepo utawala wa kweli wa sheria.
 
Je kesi yake imepangwa lini tena? kama zoba zuberi anasema lema anahamasisha watu kuhudhuria mahakamani, je? siku akitokea huko gerezani na umati wa wasikilizaji kesi wawe maradufu itakuwaje?

ila naona atakubali dhamana kabla ya bunge kuanza ;KUMBUKA LEMA NI WAZIRI WA MAMBO YA NDANI Kivuli;
 
Serikali imezidi vitisho visivyo na msingi, na ieleweke wazi kila kitu kina mwisho na hata afrika kusini wakati wa ukombozi, walikuwepo weusi waliokuwa na fikra za kujipendekeza kwa makaburu, baadhi waliuwawa na kuchomewa nyumba zao moto,. Tusifike huko lakini kama mwananchi unaliangalia taifa linakwenda kusheherekea jubilei ya miaka 50 na mpaka sasa hujaona kama nchi inataka ukombozi wewe ni tatizo,.

Nchi yetu imebarikiwa mali nyingi sana kuliko hata libya,. Yes kuliko libya, libya wana mafuta tu, lakini sisi tuna dhahabu nyingi sana, almasi nyingi sana tanzanite inapatikana kwetu tu na gesi tunayo ajabu hatuna umeme wa uhakika lakini ni sababu ya hii serikali inayohitaji mabadiliko na mabadiliko yanaanza na wewe na mimi,.

Lema hana cha kupoteza, alikuwa na uwezo wa kukaa kimya na kuangalia kila kitu kinavyoenda lakini moyo wa kuipenda tanzania ndio umemsukuma na vitisho vya kila siku ameamua kuwaonyesha kuwa jela haibadilishi msimamo wa mtu na bado watu kama lema wapo wengi na hii nchi lazima ikombolewe toka kwa wanyonyaji wachache.

Shiriki katika mabadiliko, sio dhambi hata nyerere alikuwa na uwezo wa kuridhika na uwaziri mkuu, na alikuwa na uwezo wa kuridhika na uhuru tulionao wa tz lakini aliona dhambi akatoa msaada kwa nchi jirani ili wao wajikomboe pia. Usiogope misingi imevunjwa imebaki historia tushirikiane tuisafishe serikali

"nguvu ya umma"
 
To The Leaders of the Government of United R O Tanzania .. I know you know what you real know.... I know you will underestimate this, that is why there is no need to advise you this .. Release this Gentleman, HON LEMA right now!! ... to simply dilute his very well calculated effects!! .. Just do it NOW!! Will you take such an advice? Definitely big nooOH! ... With lots of cheers and gaggles ..of course as he predicted!!

FINE: This then take us on the next level ... Be sure that, All what you consider your enemies will gain such an unimaginable POWER you have never experienced recently!! The power which the skies will be intimidated to observe .. the power that will move the unmovable... the power that wont yield to normal forces you know. Hon Lema explained this very well in his doc. Please never take it lightly!! ..Opps .. you wont take this as an advice eh!!? fine!!

This take us to the next level!!!

I repeat this with a note of seriousness, ... send someone right now and friendly convince this Gentleman out.. to undo and dilute all the forces he has so well planed to derive spontaneously and automatically out of your poor reaction ... BUT you wont take this as friendly advice eh? .. That is why I tell all of you to wait and see!!! OR Are you going to do it SIR!!? and have all this set up in neutral condition again ... I hope you do and all will be settled!
AND
I should let you know that, I was just narrating what is psychological war fair is all about ... and am sure no hard feelings involved in all this!! God bless Tanzania!!
 

Watakaotubeza na kututukana wasameheni kwani wanahitaji ukombozi wa fikra, watakaotupongeza na kutuonea huruma wafundisheni ujasiri na waambieni mapambano bado yanaendelea tunahitaji umoja wao. Nitarudi mapema. MSIOGOPE, MSIOGOPE, MSIOGOPE , MUNGU YUPO UPANDE WETU.

Mhe Godbless Lema (MB) – Arusha Mjini 31 Oktoba 2011.


Tunakusubiri arifuu uje uendeleze mapambano
 
Kamanda lema, usife moyo kesho tunaandamana kuja kukutoa.
 
mpumbavu mkubwa wewe.
Umechangia pumba kwa muda mrefu hadi kila mtu anakuona zezeta mwisho wamekufanya sehemu ya kujifunzia matusi na wewe unazidi ku prove right.

Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
Ahsantee.gif
 
Umechangia pumba kwa muda mrefu hadi kila mtu anakuona zezeta mwisho wamekufanya sehemu ya kujifunzia matusi na wewe unazidi ku prove right.

Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
Ahsantee.gif

hii siyo pumba.
 
Kamanda lema, usife moyo kesho tunaandamana kuja kukutoa.
nafikiri kuna kitu unatafuta kwa nguvu humu jf,maana nimekuona muda sana unachangia pumba badala ya kujenga hoja, unadhani wote hapa jf ni watoto wenzako,kama huna cha kuchangia kaa kimya sio lazima uchangia kuwa mstarabu mbwa wewe, ndomana humu watu wamekutukna matusi yoote kwa upupu wako,pengine kweli wewe shoga
 
Siasa imekuwa chanzo cha maslahi kwa wajasiriamali. Wenzenu wanamagari,wanajenga majumba,watoto wanasoma vizuri, n.k huku watu mnaumiza vichwa kila leo. Hakuna shujaa wala mkombozi. Watu wanaopigania nchi hii binafsi nawasikia na kuwaona kwenye vyombo mbali mbali vya habari. Mtuweke bize na masuala ya maendeleo siyo kwenye ubinafsi wenu.
 
Inasikitisha kwa ccm kumtuma nape nje ya nchi kuja kuangalia nini watanzania wa nje wanavyoiona ccm .
 
Hawa wabunge wa CDM wamekaa kama series za kwenye TV, kila siku wanakuja na mpya. Kama huyu mpumbavu, amejipeleka mwenyewe jela halafu nyie wanaarusha mlivyo na akili ndogo mnailaumu serikali.

Huko jela washije wakamlawiti tu.
 
Hawa ndio wapigania haki kweli? Sasa hizo gharama za kumlisha huko magereza si ni za walipa kodi?Alikuwa na uwezo wa kupata mdhamana lakini ameamua kwenda jela na kuitia hasara serikali.
 
Hawa wabunge wa CDM wamekaa kama series za kwenye TV, kila siku wanakuja na mpya. Kama huyu mpumbavu, amejipeleka mwenyewe jela halafu nyie wanaarusha mlivyo na akili ndogo mnailaumu serikali.

Huko jela washije wakamlawiti tu.

Mkuu Omr,
Unachosema ni kweli kabisa jela kuna mambo hayo
 
nafikiri kuna kitu unatafuta kwa nguvu humu jf,maana nimekuona muda sana unachangia pumba badala ya kujenga hoja, unadhani wote hapa jf ni watoto wenzako,kama huna cha kuchangia kaa kimya sio lazima uchangia kuwa mstarabu mbwa wewe, ndomana humu watu wamekutukna matusi yoote kwa upupu wako,pengine kweli wewe shoga

Hivi umekunywa kopo ngapi za mbege? Naona unatoa matusi tu...Vingunguti wamekualibu
 
Kumbe hii ndio sababu ya hii ishu nzima!

Polisi wanawabambikia kesi Chadema asema Lema

Sunday, 30 October 2011 20:41

Moses Mashalla,Arusha

MBUNGE wa Arusha Mjini,Godbless Lema, amewashutumu vikali polisi mkoani Arusha kwa kile alichodai kuwa ni kumyanyasa yeye na wafuasi wake wa kuwakamata na kuwabambikia kesi.Alisema vitendo hivyo vinaashiria kuwa polisi wameacha kutekeleza kazi zao na badala yake sasa wanatumika kisiasa.

Pia amehoji ya kitendo polisi wilayani Arusha, kuzuia na kuwatawanya wafuasi wa Chadema juzi wakati wakitoka Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Arusha, kusikiliza kesi ya kupinga matokeo ya kura dhidi yake.

"Inakuaje Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM( mkoani hapa wafanye maandamano ya kuzindua mashina kinyume na sheria, lakini wakafumbiwa macho na sisi tunasumbuliwa," alisema.

Lema, alitoa shutuma hizo jana alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, zikiwa zimepita siku kadhaa tangu polisi wawakamate wafuasi 19 wa Chadema, waliokuwa wakitoka mahakama kusikiliza kesi yake.

Alisema polisi wamekuwa wakitumika kisiasa badala ya kutekeleza jukumu lao la msingi la kulinda usalama wa raia na bmali zao. "Polisi katika Wilaya ya Arusha chini ya mkuu wake wamekuwa wakitumika kisiasa badala ya kufuata kazi zao za kulinda raia, hii si haki hata kidogo"alisema Lema

Mbunge huyo alisema ni madai yasiyokuwa na msingi kuwa wafuasi 17 wa chama chake, walikuwa katika maandamano."Hivi kundi la zaidi ya wafuasi 500 wa Chadema waliokuwa wakitoka mahakamani wangeondokaje mahakamani ili msongamano huo usiitwe maandamano," alihoji Lema.

Alisema akiwa ni mbunge, kamwe hataacha kutembea kwa miguu wakati atakapokuwa anatoka mahakamani kusikiliza kesi inayomkabili kwa kuwa ndio uamuzi wake na wafuasi wake.

"Mimi kama mbunge hawanizuii kutembea kwa miguu na kamwe hakuna mtu wa kunizuia kutembea kwa miguu naomba nieleweke hivyo na hata kwa wafuasi wangu,"alisisitiza Lema

Alikumbushia kesi ya kupinga matokeo baina ya Mbunge wa Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka iliyokuwa imefunguliwa na James Ole Milya kuwa wafuasi a Sendeka walikuwa wakiandamana kutoka Mahakama Kuu Kanda ya Arusha bila kubughudhiwa na polisi.

Kaimu kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Akili Mpwapwa alisema kuwa jeshi lake linafanya utaratibu wa kuwakutanisha Lema na Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Arusha, ili kujua chanzo cha uhasama baina yao.
 
Hawa wabunge wa CDM wamekaa kama series za kwenye TV, kila siku wanakuja na mpya. Kama huyu mpumbavu, amejipeleka mwenyewe jela halafu nyie wanaarusha mlivyo na akili ndogo mnailaumu serikali.

Huko jela washije wakamlawiti tu.

kwa mchango huu wewe sio mpumbavu au nyani haoni kundule.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom