kingukitano
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,971
- 496
pole sugu, usije kuta ajali ya kupangwa, nimekosa imani kabisa na maccm.
itafika mahali hata wake zenu watazidisha chumvi kwenye mboga mtasema ccm
pole sugu, usije kuta ajali ya kupangwa, nimekosa imani kabisa na maccm.
Ametoka salama mungu mkubwa
itafika mahali hata wake zenu watazidisha chumvi kwenye mboga mtasema ccm
mabom ya machozi yananunuliwa kwa kodi za wananchi,chadema ndo wanaathirika zaid na haya mabomSitaki kusikia kuwa ni mabomu ya CCM yanayorushwa na polisi
nipo mpendwa wangu ila mitaa ya gt zaid but karibuni nitarudi uwanja wa nyumbanmissed u mkuu!
karibu arachuga, jiji la mabomu yatokanayo na uzandiki wa serikali. hawa jamaa ni wapuuzi sana yaani wanapiga mabomu mpaka hospitali!nipo mpendwa wangu ila mitaa ya gt zaid but karibuni nitarudi uwanja wa nyumban