Mbunge Subira amvaa Profesa Tibaijuka sakata la Bandari

Viti Maalum? hawezi hata tetea Nchi anaongea upuuzi so mule ndani anatasikia raha ajue siku atatoka na alichochuma kitaisha wanae na wajukuu ndio watasota
 
Mbunge wa Viti Maalumu, Subira Mgalu amemtaka Waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka kutopotosha umma kuhusu utaratibu uliofanyika bungeni kwenye kupitisha azimio la Bandari...
Wewe sijui kijukuu cha nani usishindane n Professor

Wewe straggling hujui hataa kwa hiyo kaushaa
 
Marais wa kiislam wanao upole ambao sisi wakristo tunauchukulia kama ni ujinga au uswahili.
Kwenye suala la nani afe na nani abaki, unaingia kwenye mamlaka yasiyokuhusu

Mwache mwenye shamba avune atamtakaye! Usiwe mjinga kijana!

Na suala la kufa halina uhusiano na dini ama viongozi wa upande upande!

Kuna msemo usemao! Wauwaji wengi huishi miaka miiingi sana kiasi kwamba uzee wao huwa ni kama mateso

Mfano! Wachawi na watenda mabaya! Huwa hawafi mapema ili wapate adhabu yao kwanza kali uzeeni!

utajuaje bhana?
 
Alichojofanya profesa ni kunawa kwa huu upuuz. Uwez ingia mkataba wa ovyo kama huu. Jaman pesa tunaacha rahaana utaona leo but unajiletea maugumu unako kwenda
 
Viti Maalum? hawezi hata tetea Nchi anaongea upuuzi so mule ndani anatasikia raha ajue siku atatoka na alichochuma kitaisha wanae na wajukuu ndio watasota
Huyu Dada ni CPA(T) na ni msomi mzuri tu na ni 'kichwa' haswa. Ana unasaba wa karibu sana na Jakaya Kikwete. Aliwahi 'kupewa' ukuu wa Wilaya ya Kisarawe wakati Mjomba wake ni Rais. Kama walivyo viti maalum wengi wa CCM kama huna ndugu 'kule juu' basi ili uwe mbunge wa viti maalum lazima utachezea 'mipini' ya wazeiya kama yote. Adhawaizi hutoboi
 
Kwenye suala la nani afe na nani abaki, unaingia kwenye mamlaka yasiyokuhusu

Mwache mwenye shamba avune atamtakaye! Usiwe mjinga kijana!

Na suala la kufa halina uhusiano na dini ama viongozi wa upande upande!

Kuna msemo usemao! Wauwaji wengi huishi miaka miiingi sana kiasi kwamba uzee wao huwa ni kama mateso

Mfano! Wachawi na watenda mabaya! Huwa hawafi mapema ili wapate adhabu yao kwanza kali uzeeni!

utajuaje bhana?
Marais wa kikristo wanaondoka mapema kwa presha na matatizo mengine ya kiafya, wakati wale wa kiislam wanadunda mpaka uzeeni.

Kusema hivyo sio kwamba siyajui mamlaka ya Mungu ndio ukweli wenyewe ambao hatupendi kuusikia.
 
Huyu Dada ni CPA(T) na ni msomi mzuri tu na ni 'kichwa' haswa. Ana unasaba wa karibu sana na Jakaya Kikwete. Aliwahi 'kupewa' ukuu wa Wilaya ya Kisarawe wakati Mjomba wake ni Rais. Kama walivyo viti maalum wengi wa CCM kama huna ndugu 'kule juu' basi ili uwe mbunge wa viti maalum lazima utachezea 'mipini' ya wazeiya kama yote. Adhawaizi hutoboi
Siyo kuwa namtisha lakini Tibaijuka alikuwa Profesa wa Economics. Kuwa na CPA (T) hakumfanyi kichwa kwenye hii kitu. Ni kama vile kutaka Daktari wa mifugo atupe ushauri kwenye hili. Aidha, msomi yeyote anajua namna ya kukosoa hoja. Huyu kaacha hoja kakimbilia kwenye platitudes. Tunasubiri mdahalo.

Amandla....
 
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi zitafika tamati hivi punde kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when these unscrupulous rats will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority looters and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few looters whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except looters themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava boat by which they were sailing!
Wewe nawe Kumbe sawa na Bumunda lililoonza. Tunaongelea Bandari yetu bila kujali itikadi. Wapo CCM na WA vyama pinzani wenye akili za kipanya panya. Kuwaattach Wana CCM Kwa ujumla wao ni kutaka kufifisha juhudi za kupambana na wauza bandari zetu. Unless kama umetumwa kuja kutuvuruga.
 
Wewe nawe Kumbe sawa na Bumunda lililoonza. Tunaongelea Bandari yetu bila kujali itikadi. Wapo CCM na WA vyama pinzani wenye akili za kipanya panya. Kuwaattach Wana CCM Kwa ujumla wao ni kutaka kufifisha juhudi za kupambana na wauza bandari zetu. Unless kama umetumwa kuja kutuvuruga.
Mkuu miCCM yote ni mijambazi. Nitajie mCCM hata mmoja ambaye sio jambazi.
 
Back
Top Bottom