Mbunge Mussa Khamis Silima afariki Dunia

RIP mheshimiwa, nilidhani ni wa huku bara nianze kushangilia jimbo lingine kuwa wazi kwa chadema.
Kwani Zanzibar hamna CDM, nashukuru kama umekiri mwenyewe kama CDM ni chama cha Wachagga
 
duh ni mbaya sana dereva wake vip hali yake? au akuwa na dereva jamani wabunge
mnapewa pesa za kuwalipa madereva vip mbona amuwalipi mnaendesha magari wenyewe?
 
duh ni mbaya sana dereva wake vip hali yake? au akuwa na dereva jamani wabunge
mnapewa pesa za kuwalipa madereva vip mbona amuwalipi mnaendesha magari wenyewe?
Mwanzo umeuliza halafu mwisho umehitimisha kama kwama alikuwa anaendesha mwenyewe, ungesubiri ujibiwe kwanza...........Alikuwa na dereva wake sijui hali yake kwa sasa ila nae alikuwa amelazwa...............
 
RIP mheshimiwa, nilidhani ni wa huku bara nianze kushangilia jimbo lingine kuwa wazi kwa chadema.
<br />
<br />
hebu muwe na ubinadam kidodo, ha! Hizi ni roho mbaya na inaonyesha watu wanapenda vyeo hata ikibidi afe mtu. Dunia ni mapito!
 
RIP Mbunge.

Mbali na hilo tukio lililotupata watanzania kwa kuondokewa na mbunge, me nadhani pia ntaunga na Kibonde wa Radio Clouds FM jana alisema jambo mmoja muhimu sana kumetokea matukio mengi ya viongozi(esp Wabunge) hawa kukumbwa na ajari na kupoteza uhai wao, Je serikali sibora ikatoa uamuzi sasa kuwa Makao makuu ya serikali yasiwe kwa mdomo na kwa maandishi kwenye vitabu na wafanye kwa vitendo wahamie DODOMA kabisa, kuboresha Uwanaja wa Kimataifa wa ndege hapo Dodoma maana utajengwa kule njia ya kwenda Msalato ndiko eneo liliko pangiwa.

Sijui wana JF mwasemaje kwa hilo pia!!!!

Mkuu angalia pande zote, mwaka jana tu! Ajali za barabarani ziliuwa watembea kwa miguu na waendesha baiskeli wapatao 1,690 hapa Tanzania na Mabasi yaliwa watanzania 1,005! hao pia wana haki ya kulindwa uhai wao.

Mi nasema kifo ni kifo hakifai kwa kiongozi na pia hakifai kwa waendesha baiskeli wa Shinyanga wala wa Mwanza, pia hakifai kwa abiria wanaotumia mabasi, hili tatizo lifanyiwe kazi kwa mapana yake polisi hawana akili wala utashi wa kupambanana na ajali za barabarani tena hao wabunge wetu wamejisahau sana mbona awaleti sheria mbadala ya usalama barabarani, achana na mawazo ya kuamisha makao makuu ya serikali hayana uhusianao wowote na usalama barabarani.
 

Mkuu angalia pande zote, mwaka jana tu! Ajali za barabarani ziliuwa watembea kwa miguu na waendesha baiskeli wapatao 1,690 hapa Tanzania na Mabasi yaliwa watanzania 1,005! hao pia wana haki ya kulindwa uhai wao.

Mi nasema kifo ni kifo hakifai kwa kiongozi na pia hakifai kwa waendesha baiskeli wa Shinyanga wala wa Mwanza, pia hakifai kwa abiria wanaotumia mabasi, hili tatizo lifanyiwe kazi kwa mapana yake polisi hawana akili wala utashi wa kupambanana na ajali za barabarani tena hao wabunge wetu wamejisahau sana mbona awaleti sheria mbadala ya usalama barabarani, achana na mawazo ya kuamisha makao makuu ya serikali hayana uhusianao wowote na usalama barabarani.

Good point
 
RIP mheshimiwa, nilidhani ni wa huku bara nianze kushangilia jimbo lingine kuwa wazi kwa chadema.
<br />
<br />
You are so inconsiderate and inhumane! Siwezi kufurahia jimbo kuwa wazi kwa kifo cha mbunge! Hata kama naipenda CDM kiasi gani!

Hebu fikiria watoto waliopoteza mama na baba katika kipindi kifupi kiasi hicho! Poleni sana wafiwa.
 
I'm very sorry...
RIP Mussa Khamisi Silima

why are you sorry...................dying is the best thing that can happen to a human soul.............because it is a straight ticket to heaven unless of course you very much doubt he was not holy..................and he may be destined to hell............
 
RIP mheshimiwa, nilidhani ni wa huku bara nianze kushangilia jimbo lingine kuwa wazi kwa chadema.[/QUOT

Wakati wenzio tupo kwenye majonzi wewe unawaza jimbo? Hebu mkachikue hilo jimbo la ZNZ
 
Back
Top Bottom