Kiongozi aliyetajwa na Msigwa siyo wa CCM bali ni Diwani wa Chadema na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu,ina maana magwanda hawawajui hata viongozi wao,huku ndo kukurupuka kuongea bila kuwa na uhakika wa unachokiongea,hao ndiyo viongozi wa magwanda ambao kazi yao kubwa ni kupotosha umma