Tangu 2009 haujakomaa tu? Mawazo ya watu humu sio mawazo ya vyama vyao labda kama mwenye kuyaandika kaandika kwa cheo chake. Wala sio mawazo ya wamiliki wa JF. Komaa kidogo MS. Maandishi yako ni zaidi ya unavyotaka tukuone.chadema naona wanafurahia sana vifo vya wenziwao, hata hii michango inaonyesha jinsi gani chadema walivyokaa kitumbo tumbo tu
Kwaheri Mzee Sumari! MODS post zote zinazoweza kuumiza familia na jamaa wa Mh Sumari zifutwe tafadhali! kuna watu humu mishipa ya utu imekatika!
chadema naona wanafurahia sana vifo vya wenziwao, hata hii michango inaonyesha jinsi gani chadema walivyokaa kitumbo tumbo tu
Baba yao mzazi, ndio ushangae watoto ni maarufu kuliko Baba yao licha ya kwamba ni Mbunge!