duh! Ndo wabunge wetu hao! Akili zako changanya na zake!!!
Hawa ndio watutunaowategemea watuwakilishe na kutunga sheria bado wanaamini mambo ya kichawi?
Usishangae ukasikia huyu profesa ameukwaa uwaziri.
Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani |