Mbunge awaficha waliofiwa Tarime

Hivi Dada umeolewa au bado? Nadhani matatizo mengine tunaweza kuyamaliza kirahisi tu. Nahisi una matatizo ...

Wanasiasa siku zote hutafuta umaarufu kwenye balaa. Hao cdm wanatafuta kupinda ukweli, hivi unavamiwa na kundi la watu, nawe una silaha, uwache wakuue? Loh! Haiyumkiniki kabisa. Unavamiwa na kundi la watu unafyatua risasi, kama arusha, wanataka kufanya hii dili ya umaarufu. "Mshindwe na mlegee".

Hao wawekezaji kabla ya kuwekeza huwa kitu cha kwanza wanaulizia usalama wao na mali zao utakuwaje wakiiwekeza? Ukishindwa kuwalinda hawawekezi. Na Serikali imekubali kuwalinda na imefanya vyema. Wanasias uchwara wasitake mtaji wa bure kwa hili.
 
Wanasiasa siku zote hutafuta umaarufu kwenye balaa. Hao cdm wanatafuta kupinda ukweli, hivi unavamiwa na kundi la watu, nawe una silaha, uwache wakuue? Loh! Haiyumkiniki kabisa. Unavamiwa na kundi la watu unafyatua risasi, kama arusha, wanataka kufanya hii dili ya umaarufu. "Mshindwe na mlegee".

Hao wawekezaji kabla ya kuwekeza huwa kitu cha kwanza wanaulizia usalama wao na mali zao utakuwaje wakiiwekeza? Ukishindwa kuwalinda hawawekezi. Na Serikali imekubali kuwalinda na imefanya vyema. Wanasias uchwara wasitake mtaji wa bure kwa hili.

Kwani unalinda mali ya babako au yako? Hao wakazi wa Nyamongo hiyop mali ni ya kwao kwa kipindi chote chga uhai wa dunia hii na sasa amekuja huyo "mwekezaji" wao waqnazuiwa kutumia raslimali zao wakati hawana wanacho ambulia kwa huyo mwekezaji wafanye nini na serikali yetu imeshindwa kuwaondolea matatizo yao yakiwemo ya ugumu wa maisha unao sababishwa na mfumuko wa be. akilia yako inaonekana kama ville haina akilii
 
Hivi CDM injua kwamba nchi hii ni kidemokrasia.Na inatawaliwa na serikali moja tu.Na sehemu ambayo unaweza kuipinga serikali ni bungeni tu na tena kama unamweakilishi.Bunge ni mhimili pekee wa serikali ambayo inawashirikisha wapainzani na si nje ya hapo.Sjui huyu mwendawazimu lema anafanya nini Tarime.Sijui kama sheria inamruhusu kuteka nyara watu.Hyu anatakiwa kukamatwa nakufunguliwa mashitaka ya kushawishi watu kuletea fujo serikali iliyoko madarakani kwa mujibu wa sheria.
 
Chadema ni nani .Kwa nini siyo NCCR Mageuzi au CUF.Wenye serikali ni CCM.Kwa nini CDM ina kiherehere.Mtulaumu uchaguzi ujao.Sasa hivi sererkali ni yetu.Nyie sio kitu chochote zaidi ya bungeni.
 
Hivi CDM injua kwamba nchi hii ni kidemokrasia.Na inatawaliwa na serikali moja tu.Na sehemu ambayo unaweza kuipinga serikali ni bungeni tu na tena kama unamweakilishi.Bunge ni mhimili pekee wa serikali ambayo inawashirikisha wapainzani na si nje ya hapo.Sjui huyu mwendawazimu lema anafanya nini Tarime.Sijui kama sheria inamruhusu kuteka nyara watu.Hyu anatakiwa kukamatwa nakufunguliwa mashitaka ya kushawishi watu kuletea fujo serikali iliyoko madarakani kwa mujibu wa sheria.

Duh! Response yako inaonyesha jinsi watanzania walivyoonewa/tawaliwa kwa muda mrefu sasa wanafanya ni mazoea. It is so sad.
 
Chadema ni nani .Kwa nini siyo NCCR Mageuzi au CUF.Wenye serikali ni CCM.Kwa nini CDM ina kiherehere.Mtulaumu uchaguzi ujao.Sasa hivi sererkali ni yetu.Nyie sio kitu chochote zaidi ya bungeni.
Ndugu, rejea kazi za bunge/Mbunge. In brief, Bunge sio kuingia ukumbini na kukaa na kupokea posho. Bunge sio jengo ! Mbunge ni mwakilishi wa mwananchi; na zaidi ya hapo anamajukumu mengi e.g. waziri kivuli kwenye wizara fulani, kuhoji maamuzi ya serikali, kutunga sheria etc. Naweza kuwa kwetu Tarime lakini biashara zangu zote ziko Ubungo etc. Huwezi kumzuia mbunge wa Ubungo kunitetea/kuiniwakilisha kwasababu napiga kura Tarime. As long as wewe ni mbunge mwenye mapenzi mema na watanzania una haki yakuwatetea watanzania wote bila kuwabagua.
 
Huo walofanya wananchi nyamongo ni uvunjaji amani na hauwezi kuruhusiwa kamwe.huyo mbunge lema anatumia jambo hilo kisiasa.
 
Ili nchi iwe na amani upingaji wa mambo ya serikali ni kwa njia ya hoja bungeni,ukisema huyo kichaa anawakilisha wananchi anawawakilisha wapi,kuna kikao cha bunge huko tarime.Nani atajibu hoja zake na malalamiko yake kama sio kuleta fujo na kuvuruga amani ya nchi na watu wa Tarime.
 
Waziri kivuli ni katika kikao cha bunge,ndio maana wameitwa vivuli .Na anatakiwa kuwa kma waziri ndani ya bunge.Nje ya hapo hana sauti yoyote.
 
Bila shaka CHADEMA wanajua umuhimu wa mgodi wa Nyamongo kwa Wanyamongo. Serikali yetu inapaswa kujua pia suala hili kwa undani ili kuepusha mauaji haya. Mgodi ule kwa Wanyamongo ni sawa na ziwa Victoria kwa Wakerewe. Hauwezi kuwazuia Wakerewe kwenda kuvua ziwani kwa sababu yoyote ile. Tubadilishe kabisa mfumo wa mikataba yetu na wawekezaji hawa wa madini. Wafikiriwe kwanza wenyeji wa maeneo husika. Vinginevyo tutaendelea kuuana tu.
 
Na Anna Mrosso



21st May 2011








Lema%286%29.jpg

Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema


Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema, amewaweka wafiwa katika kambi ya pamoja hadi mtafaruku wa kutozika watu waliokufa katika mapambano na polisi.
Lema alisema jana kuwa yeye kwa kushirikiana na viongozi wa Chadema wilaya ya Tarime wamechukua uamuzi huo kwasababu baadhi ya viongozi wa serikali wamekuwa wakiwafuata wafiwa hao na kuwashawishi kwa fedha ili wakubali kuzika ndugu zao.
Alisema baadhi ya wafiwa walimweleza kuwa viongozi wa serikali wamekuwa wakiwaeleza kuwa endapo watakubali kuzika watawasaidia kugharamia mazishi ikiwa ni pamoja na usafiri na chakula,pamoja na hayo waliahidiwa kupewa kiasi cha zaidi ya Sh. milioni tatu kama pole kwa kila familia iliyofiwa.
Waziri huyo alisema baada ya kupata taarifa hizo, aliwakataza wafiwa kupokea fedha wala kukubali serikali kugharamia mazishi kwa kile alichosema kuwa wakifanya hivyo vitendo holela vya mauaji kwa watu wanaoishi jirani na mgodi wa dhahabu wa North Mara(Nyamongo) vitakuwa kawaida.
Katika hatua nyingine, Lema alisema kuwa Jeshi la Polisi nchini linatakiwa kuwa makini la sivyo wataendelea kutumiwa vibaya na serikali hali itakayofanya Jeshi hilo kudharaulika kwa jamii japo wao wanapokea maelekezo kutoka kwa viongozi wa serikali.
Alisema kufuatia mauaji yanayotokea mara kwa mara katika mgodi huo si kwamba wawekezaji wanafurahia bali wao pia wanasikitika kwavile wanaona ni vigumu sana kukaa katika eneo ambalo jamii inayowazunguka hawawakubali.
“Vitendo vinavyofanywa na Jeshi la Polisi vinaweza kuhatarisha hata wawekezaji kukimbia,serikali inatakiwa kuwa makini na hilo,”alisema Lema. Naye Mbunge wa Viti Maalumu wa Chadema, Ester Matiko alitaka serikali ikae chini itafakari ni kwanini mauaji ya mara kwa mara yanatokea katika maeneo yaliyo na wawekezaji.
Matiko alisema mauaji hayo hutokea kwa sababu jamii inayoishi jirani na wawekezaji wanakuwa na hali ngumu ya kimaisha ambpo serikali haijafikiria ifanye nini ili jamii inayoishi katika maeneo kama hayo zijione nazo ni sehemu ya malighafi zinazozalishwa katika eneo husika.



CHANZO: NIPASHE


Napenda kuuliza tu hivi hawa watu na chama kilicho mteua huyu kuwa mbunge wana akili sawasawa kweli ?
 
Bila shaka CHADEMA wanajua umuhimu wa mgodi wa Nyamongo kwa Wanyamongo. Serikali yetu inapaswa kujua pia suala hili kwa undani ili kuepusha mauaji haya. Mgodi ule kwa Wanyamongo ni sawa na ziwa Victoria kwa Wakerewe. Hauwezi kuwazuia Wakerewe kwenda kuvua ziwani kwa sababu yoyote ile. Tubadilishe kabisa mfumo wa mikataba yetu na wawekezaji hawa wa madini. Wafikiriwe kwanza wenyeji wa maeneo husika. Vinginevyo tutaendelea kuuana tu.

Hamna lolote kutafuta umaarufu wa kisiasa kwa migongo ya wafu !
 
CDM hwana sheria yoyote ya kuingilia utawala wa nchi zaidi ya bungeni,Wenye mamlaka kutuliza fujo yoyote ni polisi.Na kama wananchi hawakubaliani na uamuzi wa polisi sio kujichukulia sheria mkononi ndio maana walipigwa risasi baada ya kukataa kutii amri halali ya polisi na vilevile walikuwa wanahatarisha maisha ya polisi.Kama hawakuridhika na hayo kuna mahakama,wafungue kesi mahakamani sio kujichukulia tena sheria mkononi kama wanavyo CDM,wao hawana serikali yoyote ,serikali inayotawala ni ya CCM.Huo ndio utawala wa kisheria.
 
Wanasiasa siku zote hutafuta umaarufu kwenye balaa. Hao cdm wanatafuta kupinda ukweli, hivi unavamiwa na kundi la watu, nawe una silaha, uwache wakuue? Loh! Haiyumkiniki kabisa. Unavamiwa na kundi la watu unafyatua risasi, kama arusha, wanataka kufanya hii dili ya umaarufu. "Mshindwe na mlegee".

Hao wawekezaji kabla ya kuwekeza huwa kitu cha kwanza wanaulizia usalama wao na mali zao utakuwaje wakiiwekeza? Ukishindwa kuwalinda hawawekezi. Na Serikali imekubali kuwalinda na imefanya vyema. Wanasias uchwara wasitake mtaji wa bure kwa hili.

Ndugu yangu suala si CDM, suala ni Serikali kutaka kugharamia mazishi ya "wahalifu" na kuwapa pole ya milioni tatu wafiwa hilo ndio Tatizo. Hebu jiulize swali moja hata lisilohitaji akili, Kwa nini vifo vya wahalifu viwe msiba wa kitaifa kam vile vya wahanga wa mabomu Gongo la Mboto?
 
Hivi CDM injua kwamba nchi hii ni kidemokrasia.Na inatawaliwa na serikali moja tu.Na sehemu ambayo unaweza kuipinga serikali ni bungeni tu na tena kama unamweakilishi.Bunge ni mhimili pekee wa serikali ambayo inawashirikisha wapainzani na si nje ya hapo.Sjui huyu mwendawazimu lema anafanya nini Tarime.Sijui kama sheria inamruhusu kuteka nyara watu.Hyu anatakiwa kukamatwa nakufunguliwa mashitaka ya kushawishi watu kuletea fujo serikali iliyoko madarakani kwa mujibu wa sheria.

Kwanza nilijiuliza kwa nini sikuelewi unachochangia, lakini baada ya kusoma vizuri nimegundua kuwa kumbe hata unachaochangia wewe mwenyewe hukijui, BUNGE SI MHIMILI WA SERIKALI na kamwe hauwezi kuwa mhimili wa serikali. Sijui hata hao walio react kwa hiki ulichosema wameokota wapi utumbo huo, Au labda wamehisi kukuelewa
 
Wacha mdogo wangu, hata babangu. Kama anavamia sehemu ya watu kwa kuiba na auawe na mazikoni siendi. Mwizi, Jambazi.

Unataka sema nini wewe, watu wakusanyike, waende kwa nia ya kupora na kudhuru wengine halafu wakae wanatizamwa macho tu? Nashanga! Piga ua, yeyote anae trespass, au hujui sheria za trespassing? Tena kundi zima, mnavamia sehemu waliopewa wawekezaji wafanye shughuli zao? Halafu muwachiwe, eti kwa nini? Kwa kuwa ni mdogo wake FF? Hata aingie mmoja tu uwani kwangu bila kuruhusiwa, wallahi nnamtia risasi halafu tutajuana mbele labda nisimuone! Haa, mtu aingie kwangu bila taarifa akinibaka? Na mie silaha nnayo nimuachie? Hapo hujanambia kitu babuwee.

Hivi wewe unatetea nini hasa!!! Umeelewa mazingira ya hayo mauaji?! Umeelewa ni nani wauaji?! Unasifu mauaji? Ukapimwe akili lazima una ukware!! Au wewe ni mmoja wa wauaji!?? au ni mahawara zako acha upuuzi wewe!!
 
Hivi CDM injua kwamba nchi hii ni kidemokrasia.Na inatawaliwa na serikali moja tu.Na sehemu ambayo unaweza kuipinga serikali ni bungeni tu na tena kama unamweakilishi.Bunge ni mhimili pekee wa serikali ambayo inawashirikisha wapainzani na si nje ya hapo.Sjui huyu mwendawazimu lema anafanya nini Tarime.Sijui kama sheria inamruhusu kuteka nyara watu.Hyu anatakiwa kukamatwa nakufunguliwa mashitaka ya kushawishi watu kuletea fujo serikali iliyoko madarakani kwa mujibu wa sheria.

Sasa kama hata hujui sheria inasema nini iweje useme akamatwe afunguliwe mashitaka? Hauko peke yako wewe ni mwakilishi wa watanzania wengi wavivu wa kufikiri lakini ni wepesi kuchukua maamuzi yasiyofaa, jamani tuache uvivu huu, uvivu wa kufikiri ni uvivu mbaya kuliko wote
 
wacha mdogo wangu, hata babangu. Kama anavamia sehemu ya watu kwa kuiba na auawe na mazikoni siendi. Mwizi, jambazi.

Unataka sema nini wewe, watu wakusanyike, waende kwa nia ya kupora na kudhuru wengine halafu wakae wanatizamwa macho tu? Nashanga! Piga ua, yeyote anae trespass, au hujui sheria za trespassing? Tena kundi zima, mnavamia sehemu waliopewa wawekezaji wafanye shughuli zao? Halafu muwachiwe, eti kwa nini? Kwa kuwa ni mdogo wake ff? Hata aingie mmoja tu uwani kwangu bila kuruhusiwa, wallahi nnamtia risasi halafu tutajuana mbele labda nisimuone! Haa, mtu aingie kwangu bila taarifa akinibaka? Na mie silaha nnayo nimuachie? Hapo hujanambia kitu babuwee.

akili ya kisofia simba sofia simba.
 
hapa hakuna uwekezaji zaidi ya wao kujinufaisha tuu. wao wapo kimaslahi zaidi kuhakikisha walichokifuata wanakipata kwa gharama ndogo iwezekanavyo. ndo maana hata ile mikataba wanayosema eti washiriki katika kuleta maendeleo ya maeneo yanayozunguka migodi ni upuuzi tuu.
sie mitanzania tutaendelea kuibiwa tuu na tulijaribu kudai haki zetu tunapigwa na kuuawa na askari ambao ni watz wenzetu.
 
Back
Top Bottom