Mbunge awaficha waliofiwa Tarime

Naona sasa bora busara itumike. Kwani ujumbe umeshafika. Tusizidhalilishe maiti.

Zizikeni tu na mambo mengine yatafuata kama uchunguzi au lolote litakalokubaliwa na wananchi na jamii kijumla.
 
:grouphug:
Wanasiasa siku zote hutafuta umaarufu kwenye balaa. Hao cdm wanatafuta kupinda ukweli, hivi unavamiwa na kundi la watu, nawe una silaha, uwache wakuue? Loh! Haiyumkiniki kabisa. Unavamiwa na kundi la watu unafyatua risasi, kama arusha, wanataka kufanya hii dili ya umaarufu. "Mshindwe na mlegee".

Hao wawekezaji kabla ya kuwekeza huwa kitu cha kwanza wanaulizia usalama wao na mali zao utakuwaje wakiiwekeza? Ukishindwa kuwalinda hawawekezi. Na Serikali imekubali kuwalinda na imefanya vyema. Wanasias uchwara wasitake mtaji wa bure kwa hili.[/QUOTE


Wewe kweli unaongea pumba. Wewe ni mmoja wa wale ambao bado wamelala usingizi wa pono na hawatarajiwi kuamka hivi karibuni. Pole dada yangu. Kila siku mnaelimishwa juu ya rasilimali zenu zinavyoibiwa na hao wanaoitwa "wawekezaji" lakini haingii akilini mwenu. Usifikiri hao walioamua kuvamia mgodi wote hawana akili kama wewe. Ila wamechoka na pia kuona uchungu wa rasilimali za nchi yao zinavyoibiwa na wageni kama vile nchi haina serikali. Amka dada yangu na uongee mambo yanayosaidia kurudisha rasilimali za nchi yetu mikononi mwa watanzania. Usiongee pumba kama vile umelishwa.........
 
Wewe ndio limbukeni,nini mihimili tatu ya serikali kama sio utawala,mahakama na bunge.Labda nyie hamjui sheria ndio maana mnaingilia utawala wakati mtwala ni CCM.
 
we mwanamke wewe!!!! HIVI UMEZAA WEWE KWELI? Jifunze kuongea ukweli. Ukweli ni kwamba migodi ile niya wazungu weusi.
 
Mimi sio kma nyie mnaojichukulia sheria mkononi.Mahakama ndio itakyomtia hatiani kama amevunja sheria.
 
Kwa hiyo ujichukulie sheria mkononi.Sasa si umeona jinsi dola ilivyolazimika kuzuia mauaji makubwa.Police acted for they scared for their lives and they acted until the threat was over.
 
Wanasiasa siku zote hutafuta umaarufu kwenye balaa. Hao cdm wanatafuta kupinda ukweli, hivi unavamiwa na kundi la watu, nawe una silaha, uwache wakuue? Loh! Haiyumkiniki kabisa. Unavamiwa na kundi la watu unafyatua risasi, kama arusha, wanataka kufanya hii dili ya umaarufu. "Mshindwe na mlegee".

Hao wawekezaji kabla ya kuwekeza huwa kitu cha kwanza wanaulizia usalama wao na mali zao utakuwaje wakiiwekeza? Ukishindwa kuwalinda hawawekezi. Na Serikali imekubali kuwalinda na imefanya vyema. Wanasias uchwara wasitake mtaji wa bure kwa hili.

fisadi m@@nge yaani watu wanauwawa unaleta kauli za kebehi. Unajua watu wangapi wameuwawa kwa huu mgogoro. Je serikali imeshidwa kuutatua? Acha ujinga wewe
 
Wacha mdogo wangu, hata babangu. Kama anavamia sehemu ya watu kwa kuiba na auawe na mazikoni siendi. Mwizi, Jambazi.

Unataka sema nini wewe, watu wakusanyike, waende kwa nia ya kupora na kudhuru wengine halafu wakae wanatizamwa macho tu? Nashanga! Piga ua, yeyote anae trespass, au hujui sheria za trespassing? Tena kundi zima, mnavamia sehemu waliopewa wawekezaji wafanye shughuli zao? Halafu muwachiwe, eti kwa nini? Kwa kuwa ni mdogo wake FF? Hata aingie mmoja tu uwani kwangu bila kuruhusiwa, wallahi nnamtia risasi halafu tutajuana mbele labda nisimuone! Haa, mtu aingie kwangu bila taarifa akinibaka? Na mie silaha nnayo nimuachie? Hapo hujanambia kitu babuwee.

Aaaa kumbe Faiza kina taqbir hawa mauwaji kwao ndo dili mwacheni. Kilaza mpya kaibuka jf.
 
Wanasiasa siku zote hutafuta umaarufu kwenye balaa. Hao cdm wanatafuta kupinda ukweli, hivi unavamiwa na kundi la watu, nawe una silaha, uwache wakuue? Loh! Haiyumkiniki kabisa. Unavamiwa na kundi la watu unafyatua risasi, kama arusha, wanataka kufanya hii dili ya umaarufu. "Mshindwe na mlegee".

Hao wawekezaji kabla ya kuwekeza huwa kitu cha kwanza wanaulizia usalama wao na mali zao utakuwaje wakiiwekeza? Ukishindwa kuwalinda hawawekezi. Na Serikali imekubali kuwalinda na imefanya vyema. Wanasias uchwara wasitake mtaji wa bure kwa hili.

we Faidha wewe!! Wananch sio wajinga kuvamia mgodi inahitaj akili kidogo tu kuthink. Mbona mwadui hatujawah kusikia mambo hayo? Mwadui wanatoa huduma kwa jamii nakumbuka hospital yao ilikuwa inatibu hata host comm unity, lakn hawa hawana manufaa kwa jamii watoto , wamama wanakufa kwa kukosa huduma na dawa. Na ore wanabeba. We kama wakaa mjin una full access just shut up ur ass. Umemsikia Tewel mwenyewe kakiri watapata maswali magumu nje ya nchi. Kuna jinsi ya kudeal na issue kama hzo na askari walifanyiwa training mwanza na wakufunz kutoka Canada. Barricks Wenyewe wanalaumu nguvu kubwa kutumika, then wewe wajitombosha tu. Mxxxxxxx! Sijui una bwana huko nyoko we!
 
Wacha mdogo wangu, hata babangu. Kama anavamia sehemu ya watu kwa kuiba na auawe na mazikoni siendi. Mwizi, Jambazi.

Unataka sema nini wewe, watu wakusanyike, waende kwa nia ya kupora na kudhuru wengine halafu wakae wanatizamwa macho tu? Nashanga! Piga ua, yeyote anae trespass, au hujui sheria za trespassing? Tena kundi zima, mnavamia sehemu waliopewa wawekezaji wafanye shughuli zao? Halafu muwachiwe, eti kwa nini? Kwa kuwa ni mdogo wake FF? Hata aingie mmoja tu uwani kwangu bila kuruhusiwa, wallahi nnamtia risasi halafu tutajuana mbele labda nisimuone! Haa, mtu aingie kwangu bila taarifa akinibaka? Na mie silaha nnayo nimuachie? Hapo hujanambia kitu babuwee.
Maswali la kujiuliza hapa ni kwamba hivi wakati hao wawekezaji wanaenda kuwekeza pale hapakuwa na watu? je ni nani hasa aliyeona kuwepo kwa dhahabu pale ni mwekezaji au mwananchi? Wakati hao unaowaita wawekezaji wanakabidhiwa hiyo sehemu wananchi walipewa nini kama sehemu ya kuwaondoa pale walipo na kuwapeleka sehemu nyingine? Je wananchi hao wanafaidika nini kutokana na matendo hayo tofauti na kipindi hayupo muwekezaji huyo? Ni lini mvamizi baada ya kuuawa Serikali ikachukua jukumu la kuzika kwa maana ya kugharimia mazishi yake? Kwa nini Serikali ikatae kuunda tume huru ya uchunguzi wakati imewahi kutokea polisi wakaua wafanyabiashara na kutangaza walikuwa majambazi uchunguzi ulipofanyika ikathibitishwa pasipo shaka kwamba hawakuwa majambazi? Majibu ya maswali haya yakipatikana tunaweza kupata mtu wa kumlaumu kama ni wananchi au polisi.
 
Ni chama gani ambacho kinakubali kukoselewa kama sio CCM,ni chama gani ambacho kinajali ndugu tu ndio waongoze chama kwa nafasi zote za uongozi wa taifa kupitia chama ni CDM,kwa hiyo CCM ni chama cha watanzania wote.

Kwa kitu chochote au chombo chochote kuna mazuri na mabaya,kwa hiyo cha kuangalia ni kipi kimezidi kingine.Kwa CCM mazuri yamezidi uzito mabaya.Hiki ni chama ambacho ni bora kuliko vyama vyote vya siasa.Watanzania msidanganywe na propaganda za hawa ambao hawajali sheria wakati hawana mamlaka ya kutwala nchi.Je kama wakipata watakuwa vipi.
 
Kwa mawazo yangu serikali iliamua kuzika ili isitokee shari zaidi wakati inajitahidi kutatua tatizo hili moja kwa moja na CDM iko pembeni kupotosha uma ili fujo iwe out of control.Sijui kwa nini,tuwaulize kwa nini CDM inataka hawa watu wa Tarime waendeleze fujo.Vifo vimeshatokea na serikali imekubali kufuatilia kujua undani wa hili tatizo.
 
Back
Top Bottom