Leo katika kipinsi cha maswali na majibu Mbunge wa Nkenge Asumpta Mshama na Mery Mwanjelwa (CCM), wameitaka Serikali itoe Maelezo kwa nini haijafungua Ubalozi nchini Israel kwani kutofanya hivyo ni kuikosea biblia na Tanzania itapata laana.
Kutokana na hali hiyo Wabunge hawa hawajajua msimamo wa Serikali ya Tanzania kwani inatambua kuwa Palestina ni Taifa huru na ndiyo maana nchi yetu katu haitafungua ubalozi katika nchi ya Israel na Lebanon kutokana na uonevu unaofanywa kwa chuki za kidini, hivyo hawa wabunge kuna kila chembe ya dalili ya kutumwa na makuadi wa Israel kwa kuwasemea kupitia Bunge.
Ni vema wawe wanasoma kwanza wabunge wetu kabla ya kukupuka na hoja butu.
Kutokana na hali hiyo Wabunge hawa hawajajua msimamo wa Serikali ya Tanzania kwani inatambua kuwa Palestina ni Taifa huru na ndiyo maana nchi yetu katu haitafungua ubalozi katika nchi ya Israel na Lebanon kutokana na uonevu unaofanywa kwa chuki za kidini, hivyo hawa wabunge kuna kila chembe ya dalili ya kutumwa na makuadi wa Israel kwa kuwasemea kupitia Bunge.
Ni vema wawe wanasoma kwanza wabunge wetu kabla ya kukupuka na hoja butu.