Jombi Jombii
Senior Member
- Jun 4, 2011
- 185
- 10
Zanzibar haina sifa ya nchi kama Zanzibar ni nchi mbona ilishindwa kujiunga OIC ?.Zanzibar haina tofauti na kata ya Kimandolu kuilinganisha na wilaya ya Geita ni makosa makubwa.Kama ni rais hata Yanga na TFF wana rais,kama ni bendera Simba,Yanga,Mtibwa wote wana bendera.[/QUO
Hawa jammaa inferiority inawasumbua sana.Wabunge na wawakilishi wanapigiwa kura na idadi ya watu ambao hata hawana sifa ya kuunda kata halafu nao wana haki ya gari la 90m na mkopo wa 200m za wabunge.Si heri wangeziingiza mojakwa moja kuwahudumia wapiga kura wao 2500?
Hata timu yetu ya bao hapa mtaani ina Rais,Bendera,wimbo na jeshi(walinzi)