Mbunge adai hamiliki smartphone!

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,093
144,557
Mbunge mmoja(mwanamama) ameomba muongozo wa spika akitaka taarifa wanazotumia kutoka ofisi ya Bunge kama vile ratiba n.k, zitolewe kwa njia nyingine mbali na kutumiwa kwenye simu zao kwani yeye simu yake ni ya kawaida tu na siyo smart phone hivyo anashindwa kupata taarifa hizo.

Hata hivyo,Spika aliangua kicheko na kumtaka mh. huyo atafute simu za kisasa kwani ndio zitatakiwa hapo baadae.

My take:
Ni kweli au anatania?

Au ndio anataka wabunge waanze kununuliwa ipad kiaina?

Au mh.huyu ni mjamaa?
 
inawezekana kwan kama kuna wabunge standard 7 hata kusoma shida ataweza tumia smartphone? alafu anadhan ni sifa mbunge kusema hana smart phone... kweli kwenye dunia ya sasa unaweza ishi bila smart phone mtu muhim kwenye jamii?? ccm oyeee
 
That means hata pc hana, maana yake hata hao wenye smart phone wanapata taarifa kupitia emails, kitu ambacho hata yeye angepata kama angekuwa na pc, au hata email nayo hana?
 
Mbunge mmoja(mwanamama) ameomba muongozo wa spika akitaka taarifa wanazotumia kutoka ofisi ya Bunge kama vile ratiba n.k, zitolewe kwa njia nyingine mbali na kutumiwa kwenye simu zao kwani yeye simu yake ni ya kawaida tu na siyo smart phone hivyo anashindwa kupata taarifa hizo.

Hata hivyo,Spika aliangua kicheko na kumtaka mh. huyo atafute simu za kisasa kwani ndio zitatakiwa hapo baadae.

My take:
Ni kweli au anatania?

Au ndio anataka wabunge waanze kununuliwa ipad kiaina?

Au mh.huyu ni mjamaa?

Mbunge gani huyo? Inawezekana hata kibajaji ana Smart Phone!
 
Nina mwezi wa saba sasa natumia nokia tochi, na maisha yamekuwa poa sana kwanza rahisi kuweka mfukoni, charge wala sifikilii ni mara moja kwa wiki.
 
Papa Fransis wa kanisa katoliki ni kiongozi anayeongoza watu wengi duniani, huyo mbunge ambaye ni viti maalumu nimemsikia na kumuona anaweza kuwa muhimu katuka jamii kuliko papa?
Waweza jiuliza kwa nini nauliza hivi, kifupi ni kwamba Papa kwa mara ya mwisho kuangalia Television ni tarehe 7/07/1990 ana miaka 25 hajaangali tv, pia hatumii kabisa internet, akitaka kupata taarifa za kimataifa huwa anatenga dakika kumi kila siku kusoma gazeti moja la Italy
 
Nina mwezi wa saba sasa natumia nokia tochi, na maisha yamekuwa poa sana kwanza rahisi kuweka mfukoni, charge wala sifikilii ni mara moja kwa wiki.

Una mbadala wake kama vile pc mkuu
 
Papa Fransis wa kanisa katoliki ni kiongozi anayeongoza watu wengi duniani, huyo mbunge ambaye ni viti maalumu nimemsikia na kumuona anaweza kuwa muhimu katuka jamii kuliko papa?
Waweza jiuliza kwa nini nauliza hivi, kifupi ni kwamba Papa kwa mara ya mwisho kuangalia Television ni tarehe 7/07/1990 ana miaka 25 hajaangali tv, pia hatumii kabisa internet, akitaka kupata taarifa za kimataifa huwa anatenga dakika kumi kila siku kusoma gazeti moja la Italy

Mbona yuko twitter??
 
Back
Top Bottom